KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Thursday, December 30, 2010

Italia yajitahadharisha na wahamiaji



Wahamiaji wa Tunisia
Serikali ya Italia inajitahidi kukabiliana na mgogoro uliopo katika kisiwa kidogo cha Lampedusa baada ya wahamiaji 1,000 kuwasili kutoka Tunisia.

Kituo kimoja kilichoandaliwa mahsusi kwa ajili ya watu 850 kimeripotiwa kufurika.

Tunisia imeikatalia Italia kusambaza polisi wake kwenye eneo lao.

Zaidi ya wahamiaji 4,000 wanaripotiwa kuwasili Lampedusa katika siku chache zilizopita.

Mkuu wa sera za nje wa Umoja wa Ulaya Baroness Ashton kwa sasa yupo Tunis kujadili suala hilo.

Waziri wa mambo ya nje wa Italia Franco Frattini naye anatarajiwa kufika Tunis siku ya Jumatatu.

Gazeti la Italy La Repubblica limeripoti kuwa alijadili kuhusu mmiminiko huo wa wahamiaji na Lady Ashton na kutoa wito wa shirika la mipaka la Umoja wa Ulaya Frontex kujihusisha, kusaidia kupiga doria kwenye maji ya Lampedusa.

Siku ya Jumamosi Italia ilitangaza dharura ya masuala ya kibinadamu na kutoa wito wa kupata msaada kutoka Umoja wa Ulaya.

Msemaji wa shirika la kimataifa la uhamiaji, Simona Moscarelli, alisema Italia lazima iwahamishe wahamiaji kutoka Lampedusa kwenda upande wa bara wa Italia haraka iwezekanavyo

Siku ya wapendanao

Siku ya wapendanao ni sikukuu ambayo huadhimishwa kila ifikapo tarehe 14 Februari ya kila mwaka (Valentine Day).

Historia yake imeanzia karne ya 3 huko Roma ambapo alikuwapo mtakatifu valentine au Valentinus. Kaisari wakati huo alikuwa Claudius II yeye aliona kuwa askari mkakamavu na bora zaidi ni yule asiyeoa wala kuwa na familia (kapera).
Hivyo alipiga marufuku ndoa kwa askari. Mtakatifu Valentinus alipinga jambo hili hivyo kuendelea kufungisha ndoa kwa siri. Mfalme Claudius alipopata habari hizi aliamuru kukamatwa kwa Valentinus na kuuwawa.



Kuna hadithi ya kuwa akiwa gerezani mtakatifu Valentinus aliandika barua ambayo ilikuwa na salamu za kwanza za valentine kwa binti aliyekuja kumsalimia gerezani, mwisho wa barua alihitimisha kwa maneno haya (From your Valentine). Toka hapa valentine anakumbukwa kama mtetezi wawapendanao na siku hii kuadhimishwa kote duniani

Utawala mpya wa kijeshi nchini Misri umesema unalifunga bunge la kuisimamisha katika ya nchi kwa muda.


Waandamanaji mjini Cairo


Katika taarifa kupitia televsheni ya taifa, baraza la juu la kijeshi limesema litakaa madarakani kwa miezi sita, au mpaka wakati utakapofanyika uchaguzi.

Bunge la sasa la Misri, limetawaliwa na wafuasi wa Rais Hosni Mubarak, ambaye aliondoka madarakani siku ya Ijumaa, kufuatia siku 18 za maandamano.


Waandamanaji katika eneo la wazi la Tahrir


Mapema kulikuwa na mzozano katika eneo la wazi la Tahrir, baada ya waandamanaji kugomea hatua za jeshi za kuwaondoa katika eneo hilo.

Polisi wa kijeshi wametaka mahema kuondolewa katika eneo hilo ambalo ni kitovu cha maandamano yaliyosababisha kuondoka kwa Bw Mubarak.

Mwandishi wa BBC Wyre Davis aliyeko mjini Cairo anasema hali katika eneo hilo la wazi imekuwa kama mvutano wa kirafiki, lakini wandamanaji wamesema wataendelea kusalia hapo hapo


Polisi wa kijeshi wakiwa na waandamanaji


Taarifa ya jeshi ilioyosomwa kupitia televisheni ya taifa siku ya Jumapili imesema itasitisha katiba iliyopo na kuunda kamati itakayoandika muswada mpya wa katiba, kabla ya kufanyika kwa kura ya maoni.

Katiba ya sasa inazuia vyama ving vya kisiasa na makundi kushiriki katika uchaguzi, na hivyo kufanya bunge la nchi hiyo kujaa wafuasi wa chama cha National Democratic, ambacho kinamtii Bw Mubarak.

Mwandishi wetu anasema, tangazo hili jipya linamaanisha uchaguziutafanyika mwezi Julai au Agosti, badala ya Septemba kama ilivyokuwa imepangwa.

Jeshi lafuta bunge Misri

Utawala mpya wa kijeshi nchini Misri umesema unalifunga bunge la kuisimamisha katika ya nchi kwa muda.


Waandamanaji mjini Cairo


Katika taarifa kupitia televsheni ya taifa, baraza la juu la kijeshi limesema litakaa madarakani kwa miezi sita, au mpaka wakati utakapofanyika uchaguzi.

Bunge la sasa la Misri, limetawaliwa na wafuasi wa Rais Hosni Mubarak, ambaye aliondoka madarakani siku ya Ijumaa, kufuatia siku 18 za maandamano.


Waandamanaji katika eneo la wazi la Tahrir


Mapema kulikuwa na mzozano katika eneo la wazi la Tahrir, baada ya waandamanaji kugomea hatua za jeshi za kuwaondoa katika eneo hilo.

Polisi wa kijeshi wametaka mahema kuondolewa katika eneo hilo ambalo ni kitovu cha maandamano yaliyosababisha kuondoka kwa Bw Mubarak.

Mwandishi wa BBC Wyre Davis aliyeko mjini Cairo anasema hali katika eneo hilo la wazi imekuwa kama mvutano wa kirafiki, lakini wandamanaji wamesema wataendelea kusalia hapo hapo


Polisi wa kijeshi wakiwa na waandamanaji


Taarifa ya jeshi ilioyosomwa kupitia televisheni ya taifa siku ya Jumapili imesema itasitisha katiba iliyopo na kuunda kamati itakayoandika muswada mpya wa katiba, kabla ya kufanyika kwa kura ya maoni.

Katiba ya sasa inazuia vyama ving vya kisiasa na makundi kushiriki katika uchaguzi, na hivyo kufanya bunge la nchi hiyo kujaa wafuasi wa chama cha National Democratic, ambacho kinamtii Bw Mubarak.

Mwandishi wetu anasema, tangazo hili jipya linamaanisha uchaguziutafanyika mwezi Julai au Agosti, badala ya Septemba kama ilivyokuwa imepangwa.

11 wafa katika kampeni Nigeria


Rais Goodluck Jonathan



Watu 11 wamekufa katika mkanyagano kwenye mkutano wa kisiasa nchini Nigeria.

Mkutano huo uliofanyika katika mji wa kusini wa Harcourt, ulikuwa sehemu ya mkutano wa kampeni wa rais Goodluck Jonathan, kabla ya uchaguzi wa mwezi April.

Uchunguzi

Watu wengine 29 wanasemekana kujeruhiwa katika mkutano huo, ambao ulifanyika kwenye uwanja wa michezo.

Rais Jonathan ameagiza kufanyika kwa uchunguzi na kusema tukio hilo lilikuwa "la kusikitisha, bahati mbaya na la kujutia," na kuongeza: "Naomboleza na wale wanaoomboleza."

Umati huo ulishituka, baada ya polisi kufyatua risasi hewani, kujaribu kutawanya watu katika milango ya kuingiliwa uwanjani, wakati watu wakitoka, kwa mujibu wa watu walioshuhudia tukio hilo na kukaririwa na shirika la habari la Reuters.

"Kulikuwa na kundi kubwa la watu, na sehemu ilikuwa imejaa," amesema Ken Saro-Wiwa, msaidizi wa Rais Jonathan wa masuala ya kimataifa, ameiambia Reuters.

"Ni mwisho wa kusikitisha katika siku iliyoanza vizuri," amesema Bw Saro-Wiwa

11 wafa katika kampeni Nigeria


Rais Goodluck Jonathan



Watu 11 wamekufa katika mkanyagano kwenye mkutano wa kisiasa nchini Nigeria.

Mkutano huo uliofanyika katika mji wa kusini wa Harcourt, ulikuwa sehemu ya mkutano wa kampeni wa rais Goodluck Jonathan, kabla ya uchaguzi wa mwezi April.

Uchunguzi

Watu wengine 29 wanasemekana kujeruhiwa katika mkutano huo, ambao ulifanyika kwenye uwanja wa michezo.

Rais Jonathan ameagiza kufanyika kwa uchunguzi na kusema tukio hilo lilikuwa "la kusikitisha, bahati mbaya na la kujutia," na kuongeza: "Naomboleza na wale wanaoomboleza."

Umati huo ulishituka, baada ya polisi kufyatua risasi hewani, kujaribu kutawanya watu katika milango ya kuingiliwa uwanjani, wakati watu wakitoka, kwa mujibu wa watu walioshuhudia tukio hilo na kukaririwa na shirika la habari la Reuters.

"Kulikuwa na kundi kubwa la watu, na sehemu ilikuwa imejaa," amesema Ken Saro-Wiwa, msaidizi wa Rais Jonathan wa masuala ya kimataifa, ameiambia Reuters.

"Ni mwisho wa kusikitisha katika siku iliyoanza vizuri," amesema Bw Saro-Wiwa

Mapigano Sudan yasababisha 'vifo 100'



George Athol
Zaidi ya watu 100 wanasemakana sasa kufariki dunia katika mapigano Sudan kusini baada ya waasi kushambulia jeshi.

Ripoti za awali zilisema mapigano ya wiki hii yamesababisha vifo vya watu 16.

Msemaji wa jeshi la Sudan Kusini alisema, takriban watu 39 miongoni mwa waliouawa ni raia.

Mapigano baina ya wapiganaji wanaomtii George Athor na jeshi la Sudan kusini yameanza huku eneo hilo likijiandaa kwa uhuru kutoka kaskazini kufuatia kura ya maoni iliyofanyika mwezi uliopita.

Kulingana na matokeo rasmi yaliyotangazwa na maafisa wiki hii, takriban watu asilimia 99 wamepiga kura ya kujitenga kutoka kaskazini.

Bw Athor aliamua kuanzisha mapigano mwaka jana, akidai kuwepo na udanganyifu katika uchaguzi, lakini alitia saini mwezi uliopita ya kusitisha mapigano kabla ya kura hiyo ya kihistoria.

Changamoto za kiusalama
Msemaji wa jeshi la Sudan kusini Philip Aguer alisema, wanachama 20 wa majeshi ya usalama ya Sudan kusini waliuawa, pamoja na waasi 30, na kufanya jumla ya waliouawa kufikia 105.

Wakati wa mapigano hayo, magari mawili ya jeshi yalilipuliwa na mabomu ya kutegwa ardhini karibu na mji wa Fangak katika jimbo la Jonglei.

Alisema, wafuasi wa Bw Athor walifanya shambulio hilo siku ya Jumatano na mapigano yaliendelea mpaka Alhamis.

Jonglei ni mji maarufu sana upande wa kusini.

Wakati Bw Athor akiamua kuchukua silaha, upande wa kusini ulimtuhumu kwa kutumiwa na upande wa kaskazini ili kuchochea ghasia na kuharibu kura ya maoni, tuhuma ambazo maafisa wa upande wa kaskazini unazikana

Zaidi ya watu 100 wanasemakana sasa kufariki dunia katika mapigano Sudan kusini

George Athol


Zaidi ya watu 100 wanasemakana sasa kufariki dunia katika mapigano Sudan kusini baada ya waasi kushambulia jeshi.

Ripoti za awali zilisema mapigano ya wiki hii yamesababisha vifo vya watu 16.

Msemaji wa jeshi la Sudan Kusini alisema, takriban watu 39 miongoni mwa waliouawa ni raia.

Mapigano baina ya wapiganaji wanaomtii George Athor na jeshi la Sudan kusini yameanza huku eneo hilo likijiandaa kwa uhuru kutoka kaskazini kufuatia kura ya maoni iliyofanyika mwezi uliopita.

Kulingana na matokeo rasmi yaliyotangazwa na maafisa wiki hii, takriban watu asilimia 99 wamepiga kura ya kujitenga kutoka kaskazini.

Bw Athor aliamua kuanzisha mapigano mwaka jana, akidai kuwepo na udanganyifu katika uchaguzi, lakini alitia saini mwezi uliopita ya kusitisha mapigano kabla ya kura hiyo ya kihistoria.

Changamoto za kiusalama
Msemaji wa jeshi la Sudan kusini Philip Aguer alisema, wanachama 20 wa majeshi ya usalama ya Sudan kusini waliuawa, pamoja na waasi 30, na kufanya jumla ya waliouawa kufikia 105.

Wakati wa mapigano hayo, magari mawili ya jeshi yalilipuliwa na mabomu ya kutegwa ardhini karibu na mji wa Fangak katika jimbo la Jonglei.

Alisema, wafuasi wa Bw Athor walifanya shambulio hilo siku ya Jumatano na mapigano yaliendelea mpaka Alhamis.

Jonglei ni mji maarufu sana upande wa kusini.

Wakati Bw Athor akiamua kuchukua silaha, upande wa kusini ulimtuhumu kwa kutumiwa na upande wa kaskazini ili kuchochea ghasia na kuharibu kura ya maoni, tuhuma ambazo maafisa wa upande wa kaskazini unazikana.

Mapigano Sudan yasababisha 'vifo 100'

George Athol


Zaidi ya watu 100 wanasemakana sasa kufariki dunia katika mapigano Sudan kusini baada ya waasi kushambulia jeshi.

Ripoti za awali zilisema mapigano ya wiki hii yamesababisha vifo vya watu 16.

Msemaji wa jeshi la Sudan Kusini alisema, takriban watu 39 miongoni mwa waliouawa ni raia.

Mapigano baina ya wapiganaji wanaomtii George Athor na jeshi la Sudan kusini yameanza huku eneo hilo likijiandaa kwa uhuru kutoka kaskazini kufuatia kura ya maoni iliyofanyika mwezi uliopita.

Kulingana na matokeo rasmi yaliyotangazwa na maafisa wiki hii, takriban watu asilimia 99 wamepiga kura ya kujitenga kutoka kaskazini.

Bw Athor aliamua kuanzisha mapigano mwaka jana, akidai kuwepo na udanganyifu katika uchaguzi, lakini alitia saini mwezi uliopita ya kusitisha mapigano kabla ya kura hiyo ya kihistoria.

Changamoto za kiusalama
Msemaji wa jeshi la Sudan kusini Philip Aguer alisema, wanachama 20 wa majeshi ya usalama ya Sudan kusini waliuawa, pamoja na waasi 30, na kufanya jumla ya waliouawa kufikia 105.

Wakati wa mapigano hayo, magari mawili ya jeshi yalilipuliwa na mabomu ya kutegwa ardhini karibu na mji wa Fangak katika jimbo la Jonglei.

Alisema, wafuasi wa Bw Athor walifanya shambulio hilo siku ya Jumatano na mapigano yaliendelea mpaka Alhamis.

Jonglei ni mji maarufu sana upande wa kusini.

Wakati Bw Athor akiamua kuchukua silaha, upande wa kusini ulimtuhumu kwa kutumiwa na upande wa kaskazini ili kuchochea ghasia na kuharibu kura ya maoni, tuhuma ambazo maafisa wa upande wa kaskazini unazikana.

Mapigano Sudan yasababisha 'vifo 100'

George Athol


Zaidi ya watu 100 wanasemakana sasa kufariki dunia katika mapigano Sudan kusini baada ya waasi kushambulia jeshi.

Ripoti za awali zilisema mapigano ya wiki hii yamesababisha vifo vya watu 16.

Msemaji wa jeshi la Sudan Kusini alisema, takriban watu 39 miongoni mwa waliouawa ni raia.

Mapigano baina ya wapiganaji wanaomtii George Athor na jeshi la Sudan kusini yameanza huku eneo hilo likijiandaa kwa uhuru kutoka kaskazini kufuatia kura ya maoni iliyofanyika mwezi uliopita.

Kulingana na matokeo rasmi yaliyotangazwa na maafisa wiki hii, takriban watu asilimia 99 wamepiga kura ya kujitenga kutoka kaskazini.

Bw Athor aliamua kuanzisha mapigano mwaka jana, akidai kuwepo na udanganyifu katika uchaguzi, lakini alitia saini mwezi uliopita ya kusitisha mapigano kabla ya kura hiyo ya kihistoria.

Changamoto za kiusalama
Msemaji wa jeshi la Sudan kusini Philip Aguer alisema, wanachama 20 wa majeshi ya usalama ya Sudan kusini waliuawa, pamoja na waasi 30, na kufanya jumla ya waliouawa kufikia 105.

Wakati wa mapigano hayo, magari mawili ya jeshi yalilipuliwa na mabomu ya kutegwa ardhini karibu na mji wa Fangak katika jimbo la Jonglei.

Alisema, wafuasi wa Bw Athor walifanya shambulio hilo siku ya Jumatano na mapigano yaliendelea mpaka Alhamis.

Jonglei ni mji maarufu sana upande wa kusini.

Wakati Bw Athor akiamua kuchukua silaha, upande wa kusini ulimtuhumu kwa kutumiwa na upande wa kaskazini ili kuchochea ghasia na kuharibu kura ya maoni, tuhuma ambazo maafisa wa upande wa kaskazini unazikana.

Ushauri wa Jinsi ya Kulima Bangi


Mwanaume mmoja wa nchini Marekani amekuwa mkulima wa bangi mwenye mafanikio ziro baada ya kupiga simu polisi akiwafahamisha kuwa ameanza kulima bangi akitaka kujua adhabu zitolewazo kwa kulima angalau mmea mmoja wa bangi.
Robert Michelson, 21, alipiga simu polisi na kuwauliza adhabu ambayo anaweza kupewa iwapo atakamatwa akilima mmea mmoja wa bangi.

Polisi kwa kutumia namba ya simu aliyoitumia, waliweza kuigundua nyumba yake ambapo msako wa polisi ulifanikiwa kugundua mimea michache ya bangi.

Michelson alitiwa mbaroni kwa kumiliki mimea hiyo kinyume cha sheria na aliachiwa huru kwa dhamana ya dola 5000

Mzazi afarikia zahanati, azuiliwa kwenda Amana


MWANAMKE Sabela Mganga [31] ameaga dunia katika zahanati binafsi iitwayo COH iliyopo Ukonga Mazizini jijini Dar es salaam, kwa kuishiwa damu baada ya kujifungua watoto mapacha katika zahanati hiyo.


Mwanamke huyo mara baada ya kujifungua watoto hao hali yake ilikuwa imebadilika na kuishiwa damu na daktari kumuandikia mama huyo ahamie katika hospitali ya Wilaya ya Ilala ya Amana kwa matibabu zaidi.

Hata hivyo mwanamke huyo aliweza kuzuiliwa na muuguzi mmoja wa zahanati hiyo kwa kuwa mwanamke huyo alikuwa hajamalizia deni lake alilokuwa akidaiwa zahanati hapo lililofikia shilingi laki moja hamsini na tano elfu na mia nane, l55,800 kwa huduma ya kujifungulia katika zahanati hiyo.

Mwanamke huyo alifika katika zahanati hiyo Februari 5 mwaka huu na kuendelea kukaa katika zahanati hiyo hadi Februari 7 na hatimaye aliweza kufariki dunia juzi kutokana na kukabiliwa na uhaba huo wa damu aliokuwa nao baada ya kufanikiwa kujifungua watoto wake mapacha.

Uingereza yaongeza kodi

Serikali ya Uingereza imetangaza kuwa benki za nchini humo zitatozwa ushuru zaidi ili kuongeza dola milioni 112 katika hazina ya Serikali.


Mitaa yenye benki London


Kodi hiyo ambayo ilitarajiwa kupunguzwa itaanza kutekelezwa kikamilifu, hatua ambao haikutajariwa na benki za Uingereza.

Waziri wa fedha Uingereza George Osbourne amesema kuwa tangazo la ongezeko la ushuru limetolewa kabla ya mabenki kutoa maelezo kuhusu malipo ya ziada.

Pendekezo

Lakini wakurugenzi kutoka benki nne kuu za Uingereza wamekerwa na pendekezo hilo.

Mkataba wa benki kuongeza mikopo kwa wafayabiashara pamoja na kupunguza malipo ya ziada bado haijakamilishwa baada ya mazungumzo na kuhusu mradi wa Project Merlin kugonga mwamba.


Mtaa wa Canary Wharf, wa shughuli za kifedha London


Ikiwa mkataba huo utasainiwa, itamaanisha kuwa benki zitatoa ahadi ya kuweka dola bilioni mia tatu kando, kama mikopo kwa wafanyabiashara kulingana mpango wa serikali wa Benki ya Jamii - Big society Bank.

Kulingana na taarifa iliyotolewa, wakurugenzi wa HSBC, Barclays, Royal Bank of Scotland, na Lloyds watakuwa kwenye kongamano wakiwasiliana kupitia simu na Jumanne alasiri wataamua iwapo wataendelea na mkataba huo.

Zimbabwe yakamata wanaopora wageni

Polisi nchini Zimbabwe wamewakamata watu wanane kwa makosa ya uporaji kufuatia mashambulio dhidi ya wafanyabiashara kutoka nje ya nchi yanayofanywa na magenge ya vijana mjini Harare

Rais Mugabe wa Zimbabwe


Vurugu hizo zilianza wakati wafuasi wa Rais Robert Mugabe wakiandamana kupinga kampuni kutoka Afrika Kusini kupewa mkataba wa maegesho ya magari.

Msemaji wa Zanu PF amesema maandamno hayo yalitibuliwa na mahasimu wao wa kisiasa.


Bendera ya Zimbabwe


Mashambulio dhidi ya wageni yanafanyika wakati ghasia za kisiasa zikiibuka kabla ya uchaguzi ambao huenda ukafanyika baadaye mwaka huu.

Mvutano unaanza tena kati ya chama cha MDC na Zanu-PF, ambavyo vimeunda serikali ya muungano miaka miwili iliyopita kufuatia uchaguzi uliokumbwa na dosari na vurugu mwaka wa 2008.

Vurugu

Raia wa Nigeria na China walikuwa miongoni wa wale waliopoteza mali zao ikiwemo simu za mkononi, vifaa vya umeme, na nguo wakati wa vurugu hizo.

Waandishi wa habari wamesema kuwa mamia ya waandamanaji walikuwa wamebeba mabango na baadhi yake yakiwa na maneno ya kuwakejeli watu kutoka ng'ambo.

Mengine yalikuwa yakivishutumu vikwazo aliyowekewa Rais Mugabe na Umoja wa Ulaya, ambavyo vinatarajiwa kupitiwa tena wiki ujao.

Hali ngumu

"Tumewakamata baadhi ya wahalifu na bado tunafanya uchunguzi wa kundi lililojipenyeza kwenye maanadamano hayo," alisema msemaji wa polisi James Sabawu akizungumza na Reuters.

Meya wa Harare, Muchadeyi Masunda, ambaye hana uhusiano wowote na vyama hivyo vikuu, amesema Vurugu za Jumatatu zilionesha hali ngumu ya kiuchumi inayowakablili vijana wa Zimbabwe ambao hawajapata manufaa yoyote kutokana na kuibadilisha sarafu za Zimbabwe kuwa dola.

Makazi

Kwa mujibu wa chama cha MDC, polisi walikamata mamia ya wanachama waliokuwa wameenda kujisalimisha katika kanisa baada ya ghasia kuibuka katika kitongoji cha Mbare mjini Harare, mwishoni mwa juma.

Vijana wa Zanu-PF waliendesha mgomo katika eneo hilo Jumamosi na kupora na kuharibu makazi.

Imeripotiwa kuwa nyumba ya afisa mmoja wa MDC iliteketezwa katika eneo la Bindura, kilomita tisini kaskazaini mashariki mwa Harare.

Katika kauli ya pamoja iliyotolewa na vyama hivyo viwili Jumamosi, walitaka vurugu hizi za kisiasa kukomeshwa.

Sudan kuwa taifa jipya

Maafisa wa uchaguzi wamethibitisha matokeo ya kura ya Sudan Kusini kujipatia uhuru

Kusini wachagua kujitawala


Maafisa hao wamesema karibu asilimia 99 ya wapiga kura wametaka nchi hiyo kujitenga na upande wa Kaskazini.

Kura hiyo ni sehemu ya makubaliano ya amani ya mwaka 2005, yaliyomaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu kwa miongo miwili.

Ingawa upigaji kura ulifanyika kwa amani, hali ya wasiwasi bado ipo katika maeneo yenye utajiri wa mafuta.

Watu wasiopungua 50 waliuawa mwishoni mwa wiki, katika mapigano baina ya wanajeshi wa jimbo la Upper Nile la Sudan Kusini.

Kujitawala

Mapigano hayo yalitokea kati ya wanajeshi wa Kaskazini, kuhusiana na mzozo wa nani abakie na silaha nzito nzito, wakati vifaa vikihamishwa kuelekea kaskazini katika mpaka mpya.


Karatasi za kura Sudan Kusini


Maafisa wa uchaguzi wamesema asilimia 98.83 ya wapiga kura wa Sudan Kusini wameunga mkono nchi hiyo kujitawala.

Kabla ya tangazo hilo la matokeo mjini Khartoum, rais Omar al-Bashir alisisitiza tena kuwa atakubaliana na matokeo ya kura hiyo.

Omar al-Bashir

"Tunakubali na kuyapokea matokeo hayo kwa sababu yanawasilisha matakwa ya watu wa Sudan Kusini," amesema rais Bashir kupitia televisheni ya taifa.

Mwandishi wa BBC mjini Khartoum anasema Bw Bashir aliwahi kutoa matamshi kama hayo siku za nyuma, lakini tamko hili la kusisitiza litawahakikishia watu wa Kusini walio na mashaka ya kuwa huenda upande wa Kaskazini ukabadili msimamo wake.

Rais huyo amesema ana nia ya kuwa na uhusiano mwema na taifa lijalo la Kusini. Marekani imesema itaiondoa Sudan katika orodha ya nchi inayozituhumu kwa kusaidia ugaidi, iwapo kura hiyo itakwenda salama

wananchi wakishangilia matokeo


Mwandishi wa BBC Nyambura Wambugu akiwa Torit anasema baada ya tangazo kutolewa, wananchi wa huko wametoka nje na kuanza kusherekea kwa kucheza muziki.

"Sasa mimi ni raia wa daraja la kwanza katika nchi yangu" amesema Abiong Nyok, mama wa nyumbani akizungumza na BBC.

Kubaguliwa

Nusu karne iliyopita, raia wa kusini wamepigana vita mara mbili vya wenyewe kwa wenyewe na upande wa kaskazini, ambapo watu zaidi ya milioni mbili wanakadiriwa kufa.

Upande wa Kusini inajiona kama una tofauti za kitamaduni, kidini na kikabila na upande wa Kaskazini, na kusini inaamini imepitia miaka mingi ya kubaguliwa.

Taarifa zinasema kutangazwa na matokeo haya ya mwisho sio mwisho wa mchakato wote.

Changamoto

Masuala yakiwemo eneo la mpakani la Abiyei, uraia, masuala ya kisheria na rasilimali kama vile mafuta, yatahitaji kujadiliwa.

Ingawa ni tajiri kwa mafuta, Sudan Kusini ni moja ya maeneo yenye maendeleo duni zaidi duniani, na mvutano wa kikabila na uhusiano tete na upande wa kaskazini vitaleta changamoto za kiusalama kwa kipindi kirefu.

Wamachinga wa kigeni kusakwa


WIZARA ya Viwanda na Biashara wameanza kazi rasmi ya operesheni ya kuwakamata Wamachinga wa kigeni katika jiji la Dar es Salaam.
Wizara hiyo inaanza kampeni hiyo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi nchini kusaka wageni hao wanaojishughulisha na biashara hizo kinyume na sheria.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Cyril Chami, aliyasema hayo wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari juzi kuhusiana na utekelezaji wa wizara hiyo.

Amesema operesheni hiyo itaanzia katika maeneo ya Kariakoo kwa kuwa kuwa eneo hilo limeonekana kuwepo kwa wageni wengi wanaojishughulisha na biashara hizo ambao hawastahili kufanya.

Pia amefafanua kuwa mbali na eneo hilo operesheni hiyo itaendelea katika maeneo mengine ya nchini kote.

Alisema mbali na kuwakamata pia watawafungulia mashitaka kutokana na makosa watakayokutwa nayo mbali na hilo.

Alisema wafanyabiashara wengi wa kigeni wanaoingia nchini wamekuwa wakiingia nchini kwa vigezo na maelezo ya kuwekeza na baadae kubadilisha na kujishughulisha na shughuli za kimachinga.

Pia waziri huyo aliwataka wananchi kutoa taarifa rasmi pale wanapowaona raia wa kigeni wakifanya biashara ndogo ndogo ili waweze kuwafuatilia na kuwakamata

Waandamanaji Misri watafuta suluhu mpya


Misri


Waandamanaji katika eneo la wazi mjini Cairo, Tahrir wametoa wito upya wa kumtoa Rais wa Misri Hosni Mubarak, katika kipindi cha wiki mbili cha kampeni zao.

Maelfu ya watu bado wamehodhi uwanja huo lakini wamesogezwa nyuma na wanajeshi, wakijitahidi kuweka nafasi ili magari yaweze kupita.

Mazungumzo yamefanikiwa kwa kiasi kidogo na uwezekano wa Bw Mubarak kujiuzulu ni mdogo sana.

Serikali ya nchi hiyo imetangaza tahafifu, ikiwemo ongezeko la asilimia 15 kwa mishahara ya wafanyakazi milioni sita wa sekta za umma.

Mwandishi wa BBC Jon Leyne, mjini Cairo, alisema hiyo ni ishara kuwa serikali inajaribu kuimarisha nguvu zake.

Rais wa Marekani Barack Obama amepunguza makali ya ukosoaji wake, na kuzungumzia uzuri wa kuwepo na majadiliano.

Bw Obama alisema Washington, " Bila shaka, Misri lazima ifanye majadiliano, na nadhani yanaenda uzuri."

Walimu kicheko


KUTOKANA na uhaba wa walimu nchini kuanzia sasa walimu wataanza kuajiriwa moja kwa moja mashuleni bila ya kuwa na usaili.
Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Bw. Philemon Luhanjo.

Alisema hayo yameamuliwa kutokana na kuwa na uhaba wa walimu mashuleni nchini kote.

“Walimu wataajiriwa moja kwa moja kama madaktari wanapomaliza masomo yao inimradi awe amefaulu vizuri mitihani yake

Hague azuru Tunisia baada ya maandamano



Maandamano nchini Tunisia
Waziri wa mashauri ya nchi za Kigeni wa Uingereza, William Hague, yuko nchini Tunisia katika siku ya kwanza ya ziara yake katika mataifa yaliyokumbwa na vuguvugu la maandamano ya wananchi wanaoshinikiza kufanyika mageuzi ya kisiasa.

Bwana Hague atakutana na mawaziri wa ngazi ya juu katika serikali ya Tunisia, na kuwaambia kuwa Uingereza iko tayari kuwapa msaada katika utekelezaji wa

Huku kimbunga cha mabadiliko kinapozidi kuvuma Kaskazini mwa Afrika na Mashariki ya Kati William Hague atatumia siku tatu zijazokuzuru mataifa matano.


Bwana Hague
Anaanzia ziara yake katika chanzo cha maandamano Kaskazini mwa Afrika - Tunisia - ambako Rais Ben Ali alitimuliwa madarakani mwezi uliopita.

Ujumbe wake kwa mataifa yote anayozuru ni kuwa Serikali ya Uingereza iko tayari kutoa msaada wa hali na mali kuhakikisha kuwa mabadiliko ya kisiasa ya amani yanatakelezwa, na wakati huohuo kusaidia kujenga taasisi za kidemokrasia katika mataifa hayo.

Uingereza inashirikiana na mataifa mengine ya Magharibi kufuatia wasiwasi kwamba ghasia na misukosuko katika mataifa ya Afika Kaskazini, yanahatarisha usalama katika eneo lote na kwamba mabadiliko bora yanapaswa kufanywa.

Wabunge Chadema wasusia kikao tena


JANA Bunge la 10 limeanza kikao chake na bunge hilo limeonekana kuanza kwa moto baada ya wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA] kususia kikao hicho na kutoka nje ya ukumbi wa bunge.
Wabunge hao walichukua umamuzi huo baada ya kupinga mabadiliko ya kanuni za bunge yaliyowasilishwa bungeni humo jana.

Katibu wa Bunge, Job Ndugai jana aliwasilisha hoja ya kufafanua tafsiri sahihi ya kambi halali ya upinzani bungeni na baadae kuachia wabunge kupitisha hoja hiyo bungeni.

Kambi ya upinzani ilitakiwa kuwa moja kwa kuungana kwa vyama vyote vya upinzani na kupatikana kwa kambi hiyo bungeni kutokana na kanuni za bunge na kuvunja kambai ya upinzani kuwa na wabunge zaidi ya asilimi 12.5kama ilivyotafsiriwa awali.

Katika hali isiyo ya kawaida wabunge wa chama hicho hawakukubaliana na hoja hiyo iliyowasilishwa bungeni hapo na punde wabunge hao wakasusia kikao hicho na kutoka nje ya ukumbi wa bunge.

Wabunge hao walipingana na hoja hiyo na kutokubali kuungana na vyama vingine vya upinzani wakiwemo CUF, NCCR, TLP na vinginevyo na kutaka kuwepo kwa kambi zaidi ya moja.

Akipinga hoja hiyo Mwenyekiti wa Chama Cha Chadema, Freeman Mbowe alisema “ hatutaki kuungana na vyama vingine, tusilazimishwe ndoa ya lazima bila kuridhika” nitahakikihsa nitatafuta haki yetu hadi ipatikane.

Wabunge hao walikiita chama cha CUf kuwa kigegeuge na kukiiita CCM ‘B’ kwa kukiona chama hicho kinakubaliana na matakwa ya chama cha Mapinduzi

Awali katika bunge lililopita chama hicho vilijipa vyeo mbamimbali vya kuongaza kambi ya upinzani bungeni bila ya makubaliano na vyama vingine

Maharamia wateka meli ya Italia

Jeshi la wanamaji la Italia limesema maharamia wamekwea na kuchukua udhibiti wa meli ya mafuta ya Italia katika bahari ya Hindi.


Meli ya Ujerumani ambayo pia imetekwa


Maharamia hao walifyatua risasi katika chombo kiitwacho Savina Caylyn, takriban kilomita 800 kutoka pwani ya Somalia.

Msemaji wa jeshi la wananamaji amesema hakuna aliyejeruhiwa miongoni mwa mabaharia 17 kutoka India na wataliano watano.


Maharama wamejipatia mamilioni ya dola


Msemaji wa jeshi la wanamaji la Umoja wa Ulaya amesema shambulio la chombo hicho limefanyika katika eneo la mashariki mwa kisiwa cha Yemen cha Socotra.

Meli hiyo imebeba shehena ya mafuta yaliyokuwa yakipelekwa katika bandari ya Pasir Gudang nchini Malaysia, limeripoti shirika la habari la Reuters

Wanajeshi wa Marekani wakiwa na maharamia


Meli ya kivita ya Italia ilikuwa ikielekea katika eneo la tukio, lakini iko umbali wa kilomita 600, na inatarajia kuchukua siku kadhaa kuwasili, limeripoti shirika la habari la Italia.

Umoja wa Ulaya umesema meli hiyo imetekwa na mashua moja ikiwa na maharamia watano

Maharamia wa Somalia


Msemaji wa jeshi la wanamaji wa Umoja wa Ulaya amesema meli hiyo "ilikuwa ikielekea magharibi," upande wa pwani ya Somalia, shirika la habari la AFP limekaririwa.

Maharamia wa Kisomali wametjipatia mamilioni ya dola katika miaka ya hivi karibuni kwa kuteka meli za mizigo katika njia inayotumiwa na meli katika pembe ya Afrika.

Maharamia wateka meli ya Italia

Jeshi la wanamaji la Italia limesema maharamia wamekwea na kuchukua udhibiti wa meli ya mafuta ya Italia katika bahari ya Hindi.


Meli ya Ujerumani ambayo pia imetekwa


Maharamia hao walifyatua risasi katika chombo kiitwacho Savina Caylyn, takriban kilomita 800 kutoka pwani ya Somalia.

Msemaji wa jeshi la wananamaji amesema hakuna aliyejeruhiwa miongoni mwa mabaharia 17 kutoka India na wataliano watano.


Maharama wamejipatia mamilioni ya dola


Msemaji wa jeshi la wanamaji la Umoja wa Ulaya amesema shambulio la chombo hicho limefanyika katika eneo la mashariki mwa kisiwa cha Yemen cha Socotra.

Meli hiyo imebeba shehena ya mafuta yaliyokuwa yakipelekwa katika bandari ya Pasir Gudang nchini Malaysia, limeripoti shirika la habari la Reuters

Wanajeshi wa Marekani wakiwa na maharamia


Meli ya kivita ya Italia ilikuwa ikielekea katika eneo la tukio, lakini iko umbali wa kilomita 600, na inatarajia kuchukua siku kadhaa kuwasili, limeripoti shirika la habari la Italia.

Umoja wa Ulaya umesema meli hiyo imetekwa na mashua moja ikiwa na maharamia watano

Maharamia wa Somalia


Msemaji wa jeshi la wanamaji wa Umoja wa Ulaya amesema meli hiyo "ilikuwa ikielekea magharibi," upande wa pwani ya Somalia, shirika la habari la AFP limekaririwa.

Maharamia wa Kisomali wametjipatia mamilioni ya dola katika miaka ya hivi karibuni kwa kuteka meli za mizigo katika njia inayotumiwa na meli katika pembe ya Afrika.

Waangua kilio katika ofisi ya intaneti Café


WASICHANA wawili waliomaliza katika shule ya sekondari Mtinko mkoani Singida wamejikuta wakiangua kilio mara baada ya kuona matokeo yao katika ofisi hiyo.
Wasichana hao walifika katika ofisi hiyo jana majira ya jioni na kuomba msaada ya kuangaliziwa matokeo yao ya kidato cha nne.

Wakati wakiangaliziwa matokeo hayo huku wakiwa na shauku ya kufahamu matokeo hayo, ndipo walipofanikiwa kuona majina yao na alama zao walizopata na ndipo ghafla kelele za mayowe zilisikika katika chumba hicho na kuwaacha wateja wengine waliokuwa katika chumba hicho kushutuka kutokana na mayowe hayo.

Mara baada ya mayowe hayo binti mmoja alianza kulia kwa kugundua kufeli mitihani hiyo na kuambulia failed yenye alama ya pointi 35 na mwingine nae alimuunga mkono mwenzake kwa kuangulia kilio kwa kugundua kupata division foo ya 31.

Hata hivyo wasichana hao waliweza kupewa ushauri kidogo na watu waliokuwa mahali hapo na kutakiwa kujipanga upya kurudia mitihani hiyo kwa kuweka juhudi zaidi.

Hata hivyo mabinti hao waliweza kuiambia nifahamishe kuwa walifeli mitihani hiyo kwa kuwa walikuwa walikuwa wanakabilia na changamoto mbalimbali ikiwemo ya kutomaliza silabasi, upungufu wa walimu na nyingine nyingi walizoorodhesha kutoka vinywani mwao.

Matokeo ya mwaka huu yanaonyesha nusu ya watahiniwa wamefeli mitihani hiyo iliyofanyika Oktoba mwaka jana nchini kote

Ziro yamsababisha atoweke nyumbani kwao


JENIFFER SAMSON [18] muhitimu katika shule moja ya kata jijini Dar es Salaam, amelazimika atoweke nyumbani kwao mwanzoni mwa wiki hii toka alipopata matokeo yake ya kidato cha nne yaliyoonyesha amefeli mitihani hiyo.
Chanzo cha habari hii kilisema msichana huyo alitoweka nyumbani hapo kwa kuhofia wazazi wake waliomtahadharisha juu ya mitihani hiyo na walimuahidi akifeli atampa adhabu kali.

Hivyo imedaiwa kuwa Jennifer hadi kufikia jana jioni alikuwa haijafahamika alikuwa wapi kutokana na hofu hiyo ya aibu

Kashfa nyingine Mwananyamala


VICHANGA 10 wanaodaiwa kufa katika hospitali ya Mwananyamala wamekutwa wamekufukiwa katika shimo la futi moja na nusu kwa pamoja.
Vichanga hivyo vimekutwa vimezikwa maeneo ya Mwananyamala Kwa Msisiri pembezoni mwa makaburi ya Kwa Kopa na tukio hilo kuvuta watu wengi kufika neo hilo kushuhudia tukio hilo.

Vichanga hivyo vimeviringishwa katika shuka moja lenye nembo ya hospitali hiyo na kuzikwa katika shimo moja lenye urefu futi moja na nusu.
Maiti hizo zimekutwa katika eneo la Mwananyamala Msisiri, jijini Dar es Salaam, pembezoni mwa makaburi ya kwa Kopa mita chache kutoka katika hospitali hiyo.

Maiti hizo zilibainika kwenye eneo hilo na mtu mmoja aliyefahmaika wka jina la MBaga alipokuwa akifanya usafi katika eneo hilo majira ya saa 3 asubuhi na kubaini shimo hilo.
Aliona shimo ambalo lilikuwa haliajaa taka na aliposegelea ndipo aliona mkono wa kichanga kimoja na ndipo aliwaita majirani wa karibu kasha kulipoti tukio hilo kituo cha polisi Oysterbay.

Ndipo polisi walipofika eneo hilo wakafukua na kukuta maiti za watoto wachanga 10 na zilikuwa zimeshaharibika na kukatika viungo wakati wanatolewa shimoni humo.

Maiti hizo zilikuwa zimezikwa na plasta zao mikononi zilizoonyesha walikuwa wamtoka katika wodi moja hospitalini

Kufuatia tukio hilo, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana alikutana na viongozi wa juu wa wilaya hiyo wakiwemo madaktari waandamizi kwenye ukumbi wa hospitali hiyo kuzungumzia tukio hilo mkutano uliochukua zaidi ya masaa mawili.

Hata hivyo jeshi la polisi mkoani Kinondoni wanafanuya uchunguzi wa kina kufuatia tukio hilo


Hata hivyo haijafahamika mara moja sababu ya vichanga hivyo kuzikwa kwa pamoja bila ya wazazi kujua

Ofisa Tanesco mbaroni Kwa Wizi wa Tsh. Bilioni Moja



JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limemtia mbaroni ofisa wa shirika la umeme Tanzania [Tanesco] kwa tuhuma za kuliibia shirika hilo zaidi ya Shilingi bilioni moja.
Imedaiwa kuwa kuwa afisa huyo amejizolea zaidi ya bilion 1.3 na kuliingiza hasara shirika hilo na kushuka kwa mapato kutokana na fedha hizo.

Taarifa hiyo ilisema kuwa fedha hizo zilizoibwa zilitokana na mauzo ya umeme wa Luku na kudaiwa aliiba umeme huo kwa kushirikiana na wafanyabiashara mbalimbali waliojuwa wakinunua umeme katika kituo hicho.

Afisa huyo ambaye ni Mhasibu Mwandamizi wa Mapato jina linahifadhiwa kutokanda na sababu za kipolisi alilidaiwa kuiba fedha hizo kati ya Oktoba 2009 hadi 2010 katika ofisi ya tanesco mkoa wa Kinondoni.

Hasara hiyo iligundulika kuunda timu kukagua mapato ya ndani ya ndipo ilipobainika kuwa kuna hasara ya fedha hizo na kubainika kuwa afisa huyo alikuwa na hatia na hatua iliyochukuliwa ni kukatisha mkataba wake wa ajira.

“Na wakaguzi wakaamua kumfikisha polisi kituo kikuu kwa hatua zaidi za kishea” alisema Mhando mkurugenzi wa shirika hilo.

Tanesco hivi sasa wanakabiliwa deni la kuilipa fidia ya shilingi bilioni 94 kampuni ya kufua umeme ya Dowans hatua iliyochukuliwa na Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Kibiashara (ICC).

CUF yaandaa maandamano kupinga malipo Dowans


CHAMA Cha Wananchi [CUF], kinatarajia kuongoza maandamano ya amani kupinga serikali kuilipa mabilioni ya shilingi Kampuni hewa ya kufua umeme ya Dowans.
Hayo yalijulikana jana wakati Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Bw. Mtatiro Julius alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.

Alisema kuwa maandamano hayo yanatarajiwa kufanyika Februari 7 mwaka huu kupinga serikali isilipe fedha hizo kwa kampuni hiyo.

Alisema maandamdano hayo yataanzia eneo la Buguruni Malapa na kuishia katika viwanja vya Kidongechekundu.

Alisema maandamano hayo yataongozwa na mwenyekiti wa chama hicho Profesa Ibrahim Lipumba wakiwemo na viongozi wa juu wa chama hicho.

Mtatiro aliwafafanulia waansihi wa habri kuwa, chamda hicho kimekwisha litaarifu Jeshi la Polisi kupitia barua yenye kumbukumbu namba CUF/AK/DSM/NKM/B/002/A2/2011/08 ya Januari 28 , 2011.

Mtatiro alidai endapo serikali italipa fedha hizo wananchi wataathirika kwa kiasi kikubwa kutokana na malipo ya mabilioni ya shilingi

Alisema kwa Chama cha Mapinduzi kimekuwa ikiwakandamiza wananchi siku hadi siku na hawaoni sababu ya kulipa kampuni hiyo hewa iliyozasliwa kutokana na Richmond na hadi sasa Dowans sakata ambalo linaumiza vichwa watanzania kwakuwa haijafahamika nani mmiliki wa kampuni hiyo

Maandamano yazidi nchini Misri




Waandamanaji wamepuuza amri ya serikali


Maelfu ya watu wameendelea na maandamano katika mji mkuu wa Misri, Cairo, huku maandamano hayo yakiingia siku ya saba.


Waandamanaji hao wanatoa wito wa kufanyika mgomo wa kitaifa kuanzia hapo kesho Jumanne.

Polisi wameagizwa kurejea kwenye barabara za mji wa Cairo walizoziacha siku ya Ijumaa, wakati yalipofanyika mandamanao makubwa ya kuipinga serikali.

Serikali ya Misri inasema Polisi wameagizwa kushirikiana na Jeshi.

Waandamanaji wanataka Rais Hosni Mubarak aondoke madarakani baada ya kutawala kwa muda wa miaka 30.


Amejaribu kutuliza ghasia kwa kuahidi mabadiliko ya kisiasa, na akamwagiza waziri mkuu mpya Ahmed Shafiq kuharakisha mabadiliko ya kidemokrasia ili kubuni nafasi mpya za kazi.

Lakini waandishi wanasema ishara zote zinaonyesha mabadiliko pekee yatakayokubalika na waandamanaji ni Rais Mubarak kuondoka madarakani.


Mwandishi wa BBC anasema waandamanaji wengi bado wanaghadhabishwa na jaribio la Polisi kutumia nguvu kuzima maandamano.

Waandamanaji hao wameripotiwa kuzidisha harakati zao huku wakitoa wito wa kufanyika mgomo wa kitaifa na maandamanao makubwa mjini Cairo siku ya Jumanne.

Mjini Cairo kwenyewe helikopta za kijeshi zimeendelea kuzunguka angani karibu na bustani ambapo maelfu ya watu walikusanyika licha ya amri ya kutotoka nje usiku iliyotangazwa na serikali.

Jeshi limeripotiwa kuimarisha vituo vya ukaguzi kote mjini Cairo.

Wakati huo huo, Rais wa Misri Hosni Mubarak amefanya mabadiliko zaidi katika serikali yake huku wasi wasi ukiongezeka kuhusu athari za maandamano hayo juu ya uchumi wa nchi.


Taarifa zinasema Rais Mubarak amembadilisha waziri wa fedha Youssef Boutros-Ghali.

Hatua hiyo inakuja baada ya shirika moja la kimataifa la kukadiria uchumi kushusha viwango vya uthabiti wa uchumi wa Misri hadi chini ya sufuri.

Pia kuna taarifa kwamba waziri wa mambo ya ndani Habib al Adly ameondolewa na nafasi hiyo kuwekwa mtu mwingine.

Maelfu ya raia wa kigeni walioko mjini Cairo wanaendelea kusafirishwa kurudishwa makwao.



Raia wa kigeni waliokwama katika uwanja wa ndege Cairo


Kundi la kwanza la raia wa Marekani wanasafirishwa leo kutoka Cairo kupelekwa nchini Cyprus, katika mwanzo wa mpango ulioanzishwa na Marekani.

Uchina, Japan na Australia pia zimetuma ndege kuwachukua raia wao huku kukiwa na taarifa kwamba mamia ya raia wa kigeni wamekwama kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa mjini Cairo.

New Zealand imesema huenda ikatumia usafiri wa kijeshi kuwahamisha raia wake kutoka Misri.

Nchi nyingi duniani zimewatahadharisha raia wao dhidi ya kusafiri kwenda Misri








Protests in Egypt are larger and more intense than they’ve ever been before. “Unprecedented” is the word most frequently used to describe the current political events there. The size of the democratic revolt is unprecedented, as are the levels of repression and censorship. After videos like this Tiananmen square incident and this government shooting were posted to internet sites, the Egyptian government shut down Facebook, Youtube, Twitter, and other social networking sites. This extreme form of government repression and censorship reminds me of the Iranian protests after their June 2009 election was allegedly rigged. The main difference between these protests and those of the Green Movement in Iran is that the Egyptian regime is a staunch ally of the US, whereas the Iranian government is Americas top foe in the region. This fact makes for an extremely delicate challenge for the Obama administration.








How should the U.S. respond when a democratic revolution threatens to topple a government that serves our interests?

In his State of the Union, the President spoke of the ideas our nation was founded upon. Perhaps the two most fundamental ideas of the American revolution was that all people have the rights to liberty and to govern their own affairs. The political repression in Egypt is on par with the harshest in the world. The economy has been horribly mismanaged for years. Egyptians don’t have certain inalienable rights. America’s fundamental values from which American exceptionalism is derived – liberty, democracy, and the pursuit of happiness – are in direct conflict with a state which protects our core vital interests i.e. counter-terrorism, cheap flow of oil through the Suez Canal, as well as mediation in regional issues such as Gaza, Lebanon, and Iran. Our values conflict with our realpolitik national interests. Historically, for the United States the later has nearly always trumped the former; our core vital interests as a state override our the values we profess to uphold.


But this is the wrong time to forsake our values. Not only is standing on the side of freedom and democracy the right thing to do, if the calculation of the United States’ core interests is made with a long-term view, it is also in the best interest of the United States. Mubarak is 84 years old and sick, the population is young, unemployed and restless, and inflation is off the charts. These protests may or may not topple the regime, but they have already made the US support for Mubarak more costly. Mubarak’s succession is imminent. One way or another he will be replaced soon. Rather than attempting to prop him (or his son) up indefinitely, the United States should support the people of Egypt, both in words and deeds by using its immense leverage with the Egyptian government to make serious, democratic reforms.

Like all revolutions, the one gathering steam in Egypt is multifarious. Thus, it is difficult to tell whether the next government of Egypt (whenever it comes) will be closer in political outlook to the Muslim Brotherhood or Mohammed El-Baraedi. The US would certainly prefer the later, but that is not a choice for the US to make. Instead it should distance itself from the Mubarak regime (something the Obama administration is already beginning to do). The US should also seek better relations with future power brokers in Egypt, so that when power changes hands the US will be more likely to find common ground with the new regime.