KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Saturday, January 30, 2010

Waasi Nigeria wavunja mkataba




Kundi kubwa la waasi katika jimbo la Delta linalozalisha mafuta nchini Nigeria limesema kuwa halitoheshimu tena muafaka wa kusitisha mapigano ambapo kundi hilo lilitangaza mwezi October mwaka uliopita.
Katika taarifa yake, kundi la the Movement for the Emancipation of the Delta ( MEND), lilisema haliamini kuwa serikali ya Nigeria itatimiza matakwa ya kundi hilo, ikiwa ni pamoja na kurejesha udhibiti wa rasilimali za mafuta na ardhi kwa watu wa jimbo la Delta.



Kundi la MEND lilisema uamuzi huo ulifikiwa kwa uangalifu na mashauriano ya kina.

Kundi hili lilitoa onyo kwa makampuni ya mafuta na kuyafahamisha yajiandae kwa mashambulizi ya mitambo yao pamoja na wafanyakazi.

Wanamgambo wamekuwa wakishambulia mitambo ya mafuta na kuisababisha Nigeria hasara ya mamilioni ya fedha.

Uchina yaionya Marekani kuhusu Taiwan




Uchina imemwita balozi wa Marekani mjini Beijing kulalamikia juu ya mpango wa Marekani wa kuidhinisha mauzo ya silaha kwa Taiwan, kisiwa ambacho Uchina inakitambua kama sehemu ya nchi yake.
Silaha hizo ambazo zinajumuisha ndege za helicopter aina ya Black Hawk, makombora aina ya Patriot, na tiknolojia ya mawasiliano ya kijeshi zitagharimu zaidi ya dola billioni sita.

Naibu Waziri wa mambo ya kigeni wa Uchina, He Yafei, alimwambia balozi wa Marekani, Jon Huntsman, kuwa mauzo hayo yanaweza kuwa na athari mbaya kwa ushirikiano kati ya nchi hizo mbili.

Ushirikiano kati ya mataifa hayo mawili tayari unagubikwa na mzozo kuhusu biashara na udhibiti wa mtandao wa internet.

Marekani imesema kuwa ina wajibu kisheria kuisaidia Taiwan kujihami, kulingana na sheria iliyopitishwa mwaka wa 1979.

Marekani yajitetea kuiuzia silaha Taiwan




Marekani imetetea mpango wake wa kuiuzia silaha Taiwan baada ya China kuelezea kuwa imekasirishwa na mpango huo.
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imesema siku ya Jumamosi kuwa, uuzaji huo wa silaha umesababishwa na hali ya usalama kati ya Taiwan na China.

China imetangaza hatua kadhaa dhidi ya Marekani katika kulipiza kisasi dhidi ya mpango huo wa silaha zenye thamani ya dola bilioni nne.

China imesema hatua hizo ni pamoja na kusitisha ubadilishanaji wa wanajeshi kati ya Marekani na China, kupitia upya masuala nyeti kati ya nchi hizo mbili na pia kuwekea vikwazo makampuni yanayouza silaha.

Naibu Waziri wa mambo ya kigeni wa China, He Yafei, alimwambia balozi wa Marekani, Jon Huntsman, kuwa mauzo hayo yanaweza kuwa na athari mbaya kwa ushirikiano kati ya nchi hizo mbili.

CUF yataka serikali ya kitaifa, Zanzibar


CUF yataka serikali ya kitaifa, Zanzibar

Chama cha upinzani CUF visiwani Zanzibar, kimewasilisha hoja binafsi kwa baraza la wawakilishi kikipendekeza kuundwe serikali ya umoja wa kitaifa.
Hoja hiyo imewasilishwa na Abubakar Khamis wa chama cha CUF.

Miongoni mwa mambo mengine yaliyopendekezwa ni pamoja na kufanyika kwa kura ya maoni mwezi Mei mwaka huu.



Vilevile kimependekeza baraza litoe agizo kwa serikali kukabidhi rasimu ya mabadiliko ya katiba ndani ya wiki moja.

Bw Khamis pia amependekeza marekebisho katika maeneo manne, mkiwemo nafasi ya waziri kiongozi kuchukuliwa na mshindi wa pili wa uchaguzi.

Today of all days


Today of all days, the administration has no desire to be reminded of the era when the U.S. actively intervened on Iraq's side in the Iran-Iraq war, supplying credit, intelligence, helicopters and, finally, active combat assistance from the U.S. Navy… Apart from the eccentric deviation of the Iran-Contra affair, Washington's support for Iraq against the militant Iranian Shiite regime remained firm during the eight-year Iran-Iraq war, despite Hussein's well-publicized use of poison gas against, as President Bush likes to remind us, his own people

Hali ya Sudan yaleta wasiwasi




Mwanadiplomasia mwandamizi wa Umoja wa Afrika amesema kura ya maoni inayotarajiwa kupigwa mwakani kuamua iwapo Sudan ya kusini ijitawale inaweza kuleta maafa.
Akifanya mahojiano na chombo cha habari cha kifaransa RFI, Jean Ping amefananisha hali ya Sudan kuwa sawa na kukalia kipipa cha poda.

Amesema taifa hilo linaweza kwa mara nyingine tena kujikuta katika ghasia baina ya kaskazini na kusini, na maeneo mengine kama Darfur huenda yakafuata azma ya kusini ya kutaka kujitawala.

Kura hiyo ilipitishwa kama sehemu ya makubaliano ya amani ya mwaka 2005 yaliyomaliza vita vilivyodumu kwa miaka 22 baina ya kaskazini na kusini.





Sudan is a country in Northern Africa, bordering the Red Sea and is bordered by the countries (going counter-clockwise) Egypt, Libya, Chad, the Central African Republic, the Democratic Republic of the Congo, Uganda, Kenya, Ethiopia, and Eritrea. It's exact location is 1500 N, 3000 E, and it is about one fourth the size of the United States. The largest country in Africa, its total area is 2,505,810 square kilometers, and only 5% of that is water, and only 7% of the land is irrigated; Sudan has an envirnomental issue with its quota of portable water. Its climate is a little more tropical in the south (because it is closer to the equator), and its northern climate is dryer and hotter, which makes sense because the northern half is all desert. In addition to oil, Sudan has small amounts of gold, iron, copper, chromium ore, tungsten, silver, hydropower, mica, and zinc. Besides droughts, Sudan also gets dust storms (mostly in the northern part), and its animal population is threatened because of all of the excessive hunting going on (because of the hunger and poverty of many of the Sudanese people- 40% of the Sudanese people live below the poverty line) and the occasional droughts that stop what little rain there is from nourishing plants. Sudan's industry includes both edible and non-edible oils, cotton, sugar, soap distilling, textiles, cement, shoes, and automobile and truck assembly.

The state of Darfur has an area of 493,180 square kilometers (Darfur is about 20% of Sudan), and is in western Sudan. Except for the volcanic Marrah Mountain range, the state is mostly a plateau, but because it does take up area in both the north and the south, it goes with Sudan's north/south climates pretty closely. About three-fourths the size of Texas, it has 7.4 million people, which is roughly 26% of the country's population (Sudan has a total of 26 million people). Compared to Texas's population, though, Darfur has MUCH less people (Texas alone has 22 million). Like most of Sudan, Darfur's economy is based off of the production of agricultural goods like cereal, fruits, tobacco, and in the northern part, livestock. There are actually three sub-states of Darfur, too: Gharb Darfur, Janub Darfur, and Shamal Darfur

Blair kuelezea mashambulizi ya Iraq




Aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza Tony Blair anatarajiwa kutoa ushahidi mbele ya kamati inayochunguza kuhusika kwa Uingereza kwenye vita vya Iraq vya 2003.
Bwana Blair atahojiwa kwa muda wa saa 6 kuelezea sababu zake za kuunga mkono uvamizi wa Marekani nchini Iraq mwaka wa 2003.

Uingereza iliunga mkono vita hivyo kwa misingi kuwa Iraq ilikuwa na silaha za maangamizi makubwa. Blair anatarakiwa kueteta uamuzi wake kuwa rais Saddam Hussein alikuwa na uwezo na nia ya kuunda silaha za maangamizi ya halaiki.









Sodo zawasaidia wanafunzi, Ghana


Sodo zawasaidia wanafunzi, Ghana

Idadi ya wanafunzi wa kike wasiohudhuria shule nchini Ghana inaweza kupungua kufikia nusu kwa kugawa sodo, 'sanitary towels' bure.
Utafiti uliofanywa na chuo cha Oxford kwa miezi sita umegundua, mabinti walijiamini zaidi kuhudhuria shule baada ya kutumia sodo na kuelimishwa juu ya usafi.

Utafiti huo ulifanywa katika vijiji vinne ambapo njia za kiasili zilizokuwa zikitumika wakati mabinti hao wakiwa kwenye hedhi ni vitambaa.

Mtafiti Linda Scott amesema, "Ni mwiko kuzungumzia masuala hayo, lakini tumegundua kuwa walikua na hamu ya kujaribu kitu kipya."

Ameiambia BBC, "hawa mabinti ni maskini kiasi ambacho wanatakiwa kutumia kitambaa chochote watakachokuwa nacho."

Majeshi ya Umoja wa Afrika yauawa


Takriban askari wawili wa jeshi la kutunza amani la Umoja wa Afrika wameuawa katika shambulio la kijeshi katika sherehe za kuadhimisha mwaka mmoja tangu Rais wa nchi hiyo alipoingia madarakani.
Inakadiriwa wengine 11, wakiwemo raia, wameripotiwa kuuawa katika ghasia mjini Mogadishu.

Kundi la kiislamu la al-Shabab limesema limehusika na mashambulio hayo.

Maafisa takriban 200 wa Somalia walikuwa wakisikiliza shairi lililokuwa likisomwa kwa Rais akiadhimsha siku hiyo wakati waliposikia makombora yakirushwa karibu na walipokuwa.

Rais Sheikh Sharif Sheikh Ahmed, aliyekuwa mpiganaji, alichaguliwa kuwa Rais wa Somalia baada ya kufanya mazungumzo mjini Djibouti yaliyofadhiliwa na Umoja wa Mataifa lakini serikali yake bado inaonekana kuwa dhaifu.



Ethiopia's prime minister has warned parliament that Somali Islamist fighters are massing near the border.
Meles Zenawi said Ethiopian troops were ready to defend themselves against possible attack.

He also said he had sent military trainers to help Somalia's beleaguered government but they were not to fight.

Somalia's Islamists have declared "holy war" on Ethiopia, raising fears of a regional conflict. They deny Ethiopian claims they have al-Qaeda links.
There have been several eyewitness reports of hundreds of Ethiopian troops in Somalia.

Mke wa waziri wa Afrika Kusini akamatwa




Mke wa waziri wa masuala ya kijasusi wa Afrika Kusini amekamatwa kwa madai ya kuhusika na biashara ya dawa za kulevya.
Sheryl Cwele, mwenye umri wa miaka 50, mke wa Siyabonga Cwele, amefikishwa mahakamani akishtakiwa kwa jaribio la kuingiza cocaine nchini Afrika Kusini.

Bi Cwele ameshtakiwa kwa kumtumia mwanamke mmoja kuchukua dawa hizo Uturuki na kumwajiri mwanamke mwengine kuzichukua kutoka Brazil.

Amewekwa rumande mpaka dhamana yake itakaposikilizwa katika wiki moja ijayo.

Bi Cwele anakabiliwa na shutuma hizo pamoja na Frank Nabolis, raia wa Nigeria aliyekamatwa Afrika Kusini mwezi Desemba.

Friday, January 22, 2010

Obasanjo apendekeza rais YarÁdua anayeugua ajiuzulu

sana kubakia madarakani.
Matamshi hayo ya Bw Obasanjo ni ya kwanza tangu mzozo wa kisiasa nchini Nigeria uanze wakati rais Yar'Adua aliondoka nchini humo kuenda kupata matibabu nchini Saudia Arabia, takriban miezi miwili iliyopita.

Bw Obasanjo ndiye aliyemchagua Umaru Yar'Adua kuwania kiti cha rais mwaka wa 2007. Hii ilikuwa baada ya yeye kujaribu kuwania kiti hicho kwa muhula wa tatu lakini akashindwa. Kwa hivyo, matamshi haya ya Bw Obasanjo yatazidisha shinikizo za kumtaka ajiuzulu.

Akijibu maswali wakati alipokuwa akitoa hotuba nchini Nigeria, Bw Obasanjo alisema kuwa ni uamuzi wa heshima kwa mtu anayechukua wadhifa na baadaye kushindwa kufanya kazi hiyo kwa sababu ya matatizo ya kiafya.

Wakosoaji wa rais Yar'Adua wanasema kuwa, kuwa mgonjwa kwa muda mrefu, na kukosa kupata habari kamili kuhusu afya yake, kumewacha pengo kubwa katika uongozi na kusimamisha shughuli za serikali.


Obasanjo apendekeza rais YarÁdua anayeugua ajiuzulu

PICHA YA IJUMA

Mjumbe wa Marekani katika Mashariki ya Kati George Mitchel anatarajiwa kusafiri Gaza


Ajenda ya amani Mashariki ya Kati

Mjumbe wa Marekani katika Mashariki ya Kati George Mitchel anatarajiwa kusafiri Gaza hii leo kukutana na rais wa Palestina Mahmud Abbas.

Ziara ya bwana Mitchell ilianza hapo jana mjini Jerusalem ambapo alikutana na waziri mkuu wa Israel katika juhudi za kukwamua mazungumzo ya amani yaliyokwama.


Wadadisi hata hivyo wamesema kuwa juhudi za bwana Mitchel zinahujumiwa na matamshi ya hivi punde ya Netanyahu kuwa hata baada ya kupewa uhuru wa Palestina, wataendelea kuthibiti maeneo ya mipaka katika ukingo wa magharibi.

If you're serious and think you're finally buff enough for the big leagues


Before he was the Terminator he was Mr. Universe. If you've got an interest in physical fitness, take a look at some of the features below - you may never be called Girly Man again.



Here's the story of Arnold's rise to fame from a small town teenager to a champion bodybuilder.



If you're serious and think you're finally buff enough for the big leagues, then you should look into Arnold's Classic Bodybuilding Competition. Good luck!



You have to admit, being in great physical shape certainly hasn't hurt Arnold's career - or his life, for that matter. Here's how he thinks it can help you.



From the day he first picked up a barbell to his unprecedented seventh Mr. Olympia Title, Arnold sculpted his body into a physical work of art. Our ongoing photo retrospective showcases rare and classic images guaranteed to pump you up!

Upinzani wapinga katiba mpya Angola


Chama kikuu cha upinzani nchini Angola UNITA kimepinga katiba mpya inayopinga uchaguzi wa rais moja kwa moja na raia.
Mkuu wa chama hicho Isias Samakuva amesema kuwa chama chake kilisusia kura ya hapo jana bungeni kwa imani kuwa katiba hiyo inahujumu demokrasia ya nchi hiyo.

Bwana Samakuva ameambia BBC kuwa hakupata majibu yoyote kutoka kwa mkuu wa sheria au mahakama ya kikatiba juu ya pingamizi lake kwa katiba hiyo mpya.

400,000 kuhamishwa nchini Haiti




Serikali ya Haiti imesema kuwa itawahamisha zaidi ya waathiriwa laki nne kutoka mji mkuu wa Port Au Prince kufuatia tetemeko la ardhi la wiki iliyopita.
Waziri wa masuala ya ndani Paul Antoine Bien-Aimé amesema kuwa tayari mabasi yameandaliwa kuwasafirisha waathiriwa hao kutoka mji mkuu hadi vijijini kusini na kaskazini mwa nchi hiyo.

Serikali hiyo imesema kuwa takriban miili 75,000 imezikwa katika makaburi ya pamoja japo inaamini kuwa idadi ya waliofariki ni kubwa zaidi.

Thursday, January 21, 2010

Rais Barack Obama amekiri kuwa wamarekani hawajaridhishwa na hatua za serikali yake


Nisamehe niliteleza, Obama anadi wamarekani

Rais Barack Obama amekiri kuwa wamarekani hawajaridhishwa na hatua za serikali yake mwaka mmoja baada ya kumchagua.
Katika mahojiano ya kuadhimisha mwaka mmoja madarakani, Obama amesema kuwa atawasikiza zaidi wananchi wake na kushughulikia malalamiko yao.

Alikuwa akizungumza siku moja baada ya chama chake kupoteza kiti muhimu zaidi cha senate katika jimbo la Massachusettes na hivyo kutikisa siasa za nchi hiyo.

Obama ambaye ameshutumiwa kwa kusisitiza juu ya mabadiliko ya sekta ya afya na kusahau kuongeza ajira na kuinua uchumi, sasa ameahidi kupunguza joto kwa mswada wake wa afya.

Al Faisal akosa kufikishwa mahakamani Kenya


Al Faisal akosa kufikishwa mahakamani Kenya

Serikali ya Kenya imekosa kutii amri ya mahakama ya kumwasilisha mhubiri wa kiislamu kutoka Jamaica Shaikh Adulla Al Faisal mahakamani.
Mahakama kuu mjini Nairobi ilikuwa imemuagiza waziri wa uhamiaji kumwasilisha Sheikh Al Faisal baada ya Shirika la kutetea haki za jamii ya waislamu nchini Kenya, kwasilisha kesi mahakamani ya kutaka muhubiri huyo aachiliwe iwapo serikali imeshindwa kumrudisha Jamaica. Kesi hiyo itasikilizwa baadaye aleo alasiri.



Huku hayo yakijiri shirika hilo la kutetea haki za jamii ya waislamu imekanusha madai kuwa imepanga maandamano mengine hapo kesho katika miji mikuu nchini Kenya.

Rais Jose Eduardo dos Santos amekuwa madarakani kwa zaidi ya miongo mitatu


Rais Jose Eduardo dos Santos amekuwa madarakani kwa zaidi ya miongo mitatu na uchaguzi mwengine hautarajiwi kufanyika hadi mwaka 2012.



Nchi hiyo yenye utajiri wa mafuta bado inajaribu kurejesha hali ya utulivu na usalama baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe kumalizika mwaka 2002.

Shirika la habari la AFP limesema mabadiliko hayo yamepitishwa na wabunge 186 miongoni mwa 220 yaliyovutia hamasa huku wakishangilia kwa nguvu "Angola, Angola!"

Angola yabadilisha katiba




Bunge la Angola limepitisha kuwepo kwa katiba mpya itakayofuta uchaguzi wa moja kwa moja wa nafasi ya Rais.
Kiongozi wa nchi sasa atateuliwa na chama chenye idadi kubwa ya wawakilishi bungeni.

Chama kikuu cha upinzani, Unita, kimegomea kura hiyo, kikiishutumu serikali kwa kujaribu kuvuruga demokrasia.

Workers are carving out mass graves on a hillside


PORT-AU-PRINCE, Haiti – Workers are carving out mass graves on a hillside north of Haiti's capital, using earth-movers to bury 10,000 earthquake victims in a single day while relief workers warn the death toll could increase.

Medical clinics have 12-day patient backlogs, untreated injuries are festering and makeshift camps housing thousands of survivors could foster disease, experts said.

"The next health risk could include outbreaks of diarrhea, respiratory tract infections and other diseases among hundreds of thousands of Haitians living in overcrowded camps with poor or nonexistent sanitation," said Dr. Greg Elder, deputy operations manager for Doctors Without Borders in Haiti.

Hoping to assess the scope of the crisis, World Food Program chief Josette Sheeran planned to visit Haiti on Thursday, as did European Union aid chief Karel De Gucht.

The death toll is estimated at 200,000, according to Haitian government figures relayed by the European Commission, with 80,000 buried in mass graves. The commission now estimates 2 million homeless, up from 1.5 million, and says 250,000 are in need of urgent aid.

In the sparsely populated wasteland of Titanyen, north of Port-au-Prince, burial workers on Wednesday said the macabre task of handling the never-ending flow of bodies was traumatizing.

"I have seen so many children, so many children. I cannot sleep at night and, if I do, it is a constant nightmare," said Foultone Fequiert, 38, his face covered with a T-shirt against the overwhelming stench.

The dead stick out at all angles from the mass graves — tall mounds of chalky dirt, the limbs of men, women and children frozen together in death. "I received 10,000 bodies yesterday alone," said Fequiert.

Workers say they have no time to give the dead proper religious burials or follow pleas from the international community that bodies be buried in shallow graves from which loved ones might eventually retrieve them.

"We just dump them in, and fill it up," said Luckner Clerzier, 39, who was helping guide trucks to another grave site farther up the road.

An Associated Press reporter counted 15 burial mounds at Clerzier's site, each covering a wide trench cut into the ground some 25 feet deep, and rising 15 feet into the air. At the larger mass grave, where Fequiert toiled, three earth-moving machines cut long trenches into the earth, readying them for more cadavers.



Others struggle to stem the flow of the dead.

More than eight days after the magnitude-7.0 earthquake, rescuers searched late into the night for survivors with dogs and sonar equipment. A Los Angeles County rescue team sent three dogs separately into the rubble on a street corner in Petionville, a suburb overlooking Port-au-Prince. Each dog picked up the scent of life at one spot.

They tested the spot and screamed into the rubble in Creole they've learned: "If you hear me, bang three times."

They heard no response, but vowed to continue.

"It's like trying to find a needle in a haystack, and each day the needles are disappearing," team member Steven Chin said.

One rescue was reported. The International Medical Corps said it was caring for a child found in ruins Wednesday. The boy's uncle told doctors and a nurse with the Los Angeles-based organization that relatives pulled the 5-year-old from the wreckage of his home after searching for a week, said Margaret Aguirre, an IMC spokeswoman in Haiti.

A Dutch adoption agency said Thursday that a mercy flight carrying 106 adopted children was on its way to the Netherlands from Port-au-Prince. The children on board the plane were all in the process of being adopted and already had been matched to new Dutch parents before the quake.

At the Mission Baptiste hospital south of Port-au-Prince, patients waited on benches or rolling beds while doctors and nurses raced among them, X-rays in hand.

The hospital had just received badly need supplies from soldiers of the U.S Army's 82nd Airborne Division, but hospital director John Angus said there wasn't enough. He pleaded for more doctors, casts and metal plates to fix broken limbs.

Meanwhile, a flotilla of rescue vessels led by the U.S. hospital ship Comfort steamed into Port-au-Prince harbor Wednesday to help fill gaps in the struggling global effort to deliver water, food and medical help.

Elder, of Doctors Without Borders, said that patients were dying of sepsis from untreated wounds and that some of the group's posts had 10- to 12-day backups of patients.

Adding to the terror, a 5.9-magnitude aftershock shook Haiti's capital Wednesday, sending people screaming into the streets. Some buildings collapsed and an undertaker said one woman died of a heart attack. Surgical teams and patients were forced to evacuate temporarily from at least one hospital.

At United Nations headquarters in New York, U.N. humanitarian chief John Holmes said it was believed 3 million people are affected. Vast, makeshift camps and settlements have sprung up for survivors.

Joseph St. Juste and his 5-year-old daughter, Jessica, were among 50,000 people spending their nights at a golf course. He is afraid to stay in his home because of the aftershocks.

The survivors have put of shelters of bedsheets or cardboard boxes on fairways that snake up the hill toward a country club where U.S. paratroopers give out food daily.

St. Juste, a 36-year-old bus driver, wakes up every day and goes out to find food and water for his daughter.

"I wake up for her," he said. "Life is hard anymore. I've got to get out of Haiti. There is no life in Haiti."

___

Associated Press writers contributing to this report included Alfred de Montesquiou, Tamara Lush, Kevin Maurer, Michelle Faul, Bill Gorman and Jessica Desvarieux in Haiti; Edith M. Lederer at the United Nations; Emma Vandore and Elaine Ganley in Paris; and Aoife White in Brussels.

GUANTANAMO BAY NAVAL BASE, Cuba – The U.S. has begun preparing tents at Guantanamo Bay for Haitians migrants


GUANTANAMO BAY NAVAL BASE, Cuba – The U.S. has begun preparing tents at Guantanamo Bay for Haitians migrants in case of a mass migration spurred by the earthquake, a senior official at the base said Wednesday.

About 100 tents, each capable of holding 10 people, have been erected and authorities have more than 1,000 more on hand in case waves of Haitians leave their homeland and are captured at sea, said Navy Rear Adm. Thomas Copeman.

Authorities have also has tested the latrine facilities and gathered cots and other supplies, said Copeman, the commander of the task force that runs the detention center for terrorism suspects at Guantanamo, where the U.S. holds nearly 200 men.

The Haitian migrants would be held on the opposite side of the base as the detention center, separated by some 2 1/2 miles of water across Guantanamo Bay, and would have no contact with the prisoners.

U.S. immigration officials have said they will fast-track applications for a federal designation that will allow illegal Haitian immigrants to live and work temporarily in this country, but only if they were in the U.S. on the day of the Jan. 12 earthquake.

The U.S. base in southeastern Cuba is also being used to transport supplies and personnel to the aid effort in Haiti, about 200 miles away.

In the early 1990s, it housed tens of thousands of Haitian boat people were held at Guantanamo until they could be sent home

Wednesday, January 20, 2010

DR. EDWARD MAISHANI.


DR. EDWARD MAISHANI.
DR. EDWARD NI MZALIWA WA ARUSHA NA KWA SASA ANAFANYIA SHUGHULI YAKE KATIKA JIJI LA DAR ES ALAAM, TANZANIA.
EDWARD NI KIJANA MWENYE KUJITUMA KATIKA KUTUMIKIA TAIFA LAKE.
HAKUNA JAMBO ZURI NA BORA MAISHANI KAMA ELIMU.
ELIMU NICHOMBO CHENYE UWEZO WAKUBADILISHA MAMBO (MAVAZI, MAKAZI, USAFIRI, AFYA, UFAHAMU…..N.K) NA MAISHA YA MTU HUSIKA.
DR. EDWARD ALIWEZA KUTUMIA UWEZO WAKE WA KIAKILI NA KUFIKIA ELIMU YA JUU MAISHANI MWAKE.
KIAFYA:
DR. EDWARD NI MTU MWENYE KUJALI AFYA ZA WATU WENGINE NA PIA BILA KUSAHAU AFYA YAKE MAISHANI.
DR. EDWARD ANAPOMALIZA KAZI YAKE YA KUHUDUMIA JAMII, HUELEKEA KATIKA HARAKATI YA KUTENGENEZA VIUNGO VYAKE. MATENGENEZO AU KUIMARISHA VIUNGO VYA DR. EDWARD, YANAFANYIKA KATIKA GYM (UKUMBI) YA KILIMANJARO FITNES CENTRE JIJINI DAR ES SALAAMU.
UKWELI NI KWAMBA DR. EDWARD AMEKAMILIKA NA YUKO FITI KIMWILI NA KIAKILI MAISHANI. NA NIVIGUMU SANA KUONA MTU MWENYE KUJITUMA KATIKA KUHUDUMIA JAMII NA KUKUMBUKA KUGHARAMIA MWILI WAKE KATIKA MAHITAJI YA KILA AINA(CHAKULA, MAVAZI, MATIBABU, USAFIRI MZURI, MAKAZI, LIKIZO, KUISHI NA WATU KWA UPENDO, KUJALI AFYA YAKE……N.K).
WATU WENGI HAWAPENDI KUFANYA MAZOWEZI MAISHANI MWAO NA WENGINE HUONA KUTOA PESA ZAO KWA KULIPIA SEHEMU MAALUMU (GYM) YA KUBORESHA MIILI YAO, KAMA NI GHARAMA ISIOKUWA NA MPANGO AU FAIDA MAISHANI MWAO. LAKINI WATU WENYE KUJALI AFYA ZAO MAISHANI, HUTUMIA MUDA WAO KATIKA KUHUDUMIA JAMII, BILA KUSAHAU AFYA ZAO MAISHANI. CHAKULA NI KIZURI MAISHANI, LAKINI CHAKULA KINAWEZA KUWA MOJAWAPO YA SUMU YA KUKUMALIZA (KUSAMBAZA MAGONJWA KAMA PRESHA, KISUKARI, UCHOVU WA MWILI, N.K) MAGONJWA MENGI YA MWILI WA MINADAMU YANAANZISHWA NA MLO USIOKUWA NA KIPIMO MAISHANI.
KINYWAJI:
KILA MTU ANAPENDA KUNYWA KILE ANACHOKIPENDA MAISHANI MWAKE, LAKINI NI VYEMA KUNYWA KILE KINYWAJI CHENYE UNAFU KATIKA UJENZI WA AFYA YAKO MAISHANI. KINYWAJI BORA NIKAMA, MAJI, JUISI, MAZIWA,……LAKINI POMBE NA SODA AU JUISI ZA MADUKANI NIVINYWAJI VYENYE UWEZO MKUBWA WA KUANZISHA NA KUSAMBAZA MAGONJWA MWILINI KWA HARAKA.
DR. EDWARD AMEJIANDAA VIZURI KATIKA HARAKATI YA KUPAMBANA NA MAGONJWA HAYO, BILA KUJALI GHARAMA YA UKUMBI WA MAZOWEZI (GYM).

Sudan kukubali kusini ijitenge?




Rais Omar al-Bashir amesema atakubali upande wa kusini ujitenge iwapo raia wa eneo hilo watapiga kura ya maoni ya kutaka uhuru wao mwakani.

Akizungumza wakati wa sherehe za kuadhimisha miaka mitano tangu kumalizika kwa vita vya pande mbili za kusini na kaskazini, chama chake cha Northern Congress hakikutaka kusini ijitenge.

Lakini amesema chama hicho kitakuwa cha kwanza kukubaliana na uamuzi huo.

Wachambuzi wamesema Bw Bashir ametumia lugha isiyo ya kawaida, yenye kuonyesha kuridhia ambayo imepokelewa vyema.

Katika miezi ya hivi karibuni wasiwasi umekuwa ukiongezeka baina ya pande hizo mbili.

Takriban watu miamoja arobaini na tisa wamefariki kwenye ghasia kati ya makundi ya kikristo na kiisilamu katika mji wa Jos


Ghasia za kidini zakithiri Nigeria

Takriban watu miamoja arobaini na tisa wamefariki kwenye ghasia kati ya makundi ya kikristo na kiisilamu katika mji wa Jos kwa mujibu wa maafisa wa utawala.

Viongozi wa kidini na wahubiri waliwafahamisha waandishi wa habari kuwa maiti za waliokufa zitazikwa katika kaburi la pamoja.

Idadi kamili ya waliofariki ingali kujulikana.

Makamu wa rais wa Nigeria Good Luck Jonathan ameagiza kutumwa kwa wanajeshi zaidi katika mji huo kudhibiti usalama.

Pia ametuma maafisa wakuu wa ujasusi kuchunguza zaidi ripoti kuwa mapigano hayo huenda yamesambaa katika miji mingine jirani.

Waziri wa Uhamiaji wa Kenya, Otieno Kajwang, ametoa onyo kwa wanasiasa kutoka nchi jirani ya Somalia


Kenya yawaonya wanasiasa wa Somalia waliotorokea huko

Waziri wa Uhamiaji wa Kenya, Otieno Kajwang, ametoa onyo kwa wanasiasa kutoka nchi jirani ya Somalia wanaotafuta hifadhi nchini humo, warudi nyumbani au wakae katika kambi za wakimbizi zilizoko nchini humo.

Bw Kajwang amesema kuwa wabunge wa Somalia hawapaswi kutumia Kenya kama eneo la kutafuta hifadhi kila wakati, wakati wameharibu taasisi nchini kwao.

Waziri huyo wa uhamiaji amewashutumu kuwa wanatumia mji wa Nairobi ambako wengi wametorokea kusababisha vurugu nchini Somalia, na kuleta matatizo nchini Kenya.

Takriban wabunge 530 wa serikali ya mpito ya Somalia wanaishi nchini Kenya.

Wabunge hao wanadai wamelazimika kuishi nje ya Somalia kutokana na kuwa hawajaweza kulipia ulinzi wao mjini Mogadishu.

Wanajeshi wa Marekani wameongeza oparesheni zao nchini Haiti kuimarisha usalama


Marekani yaongeza oparesheni Haiti

Wanajeshi wa Marekani wameongeza oparesheni zao nchini Haiti kuimarisha usalama na usambazaji wa misaada kwa waathiriwa wa tetemeko la ardhi.

Jeshi hilo limesema kuwa uwanja wa ndege nchini humo unahudumia zaidi ya ndege mia moja themanini kwa siku.

Pentagon imesema kuwa inaandaa sasa viwanja viwili zaidi ili kupunguza msongamano katika uwanja huo.






Wakati uo huo baraza la usalama la umoja wa mataifa limeamua kutuma wanajeshi 3,500 zaidi wa kulinda amani ili kusaidia katika usambazaji wa misaada.