KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Thursday, December 2, 2010

Atinga Ikulu kumpongeza JK


KIJANA Mussa Doto mkazi wa Kata ya Kasamwa, Geita, jana amejikuta akitimiza azma yake ya kutinga Ikulu kwa kutumia usafiri wa baiskeli akitokea Geita kwa lengo la kuja kumpongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kuchaguliwa tena kuwa Rais wa Tanzania kwa awa
Dotto alipokelewa jana asubuhi, na Rais Kikwete akitokea Geita hadi kufika Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wake wa baiskeli hadi Ikulu.

Rais Kikwete alimpokea kijana huyo aoliyeonekana kuwa na moyona yeye na kumkaribisha na kumpongeza kijana huyo kwa kuonyehsa ushupavu wake na dhamira yake juu ya yake.

Pia Rais Kikwete mbali na kumshukuru kijana huyo, pia alimuahidi kumsaidia kijana huyo zaidi katika shughuli zake za kilimo ili apate manufaa na mafanikio zaidi

No comments:

Post a Comment