KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Saturday, November 27, 2010

Bashir kuhudhuria mkutano Afrika, Ulaya


Jenerali Omar al-Bashir



Aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini Thabo Mbeki ametangaza kuwa Rais wa Sudan, Jenerali Omar al-Bashir, anayetakiwa na mahakama ya kimataifa ya uhalifu, atahudhuria mkutano wa viongozi wa Africa na Ulaya utakaofanyika wiki hii.




Mkutano huo unafanyika nchini Libya ambayo si mwanachama wa ICC na kwa hivyo haiwajibiki kumkamata Rais Bashir.

Lakini waandishi wa habari wanasema kuhudhuria kwake kutasabisha tatizo la kidiplomasia kwa wawakilishi wa Muungano wa Ulaya ambao wana wajibu wa kutekeleza hati za kukamatwa kwa washukiwa zinazotolewa na mahakama hiyo

No comments:

Post a Comment