KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Friday, May 28, 2010

Liyumba kuwasilisha rufaa l


ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba, leo anatarajiwa kukata rufaa na kuiwasilisha mahakama kuu, kupinga hukumu ya miaka miwili jela.
Wakili aliyekuwa akimtetea Liyumba, Majura Magafu amesema kuwa, watawasilisha rufaa hiyo leo kutokana na kutoridhishwa na maamuzi wa mahakama ya Kisutu dhidi ya hukumu hiyo.


Liyumba alihukumiwa Mei 24 mwaka huu, baada ya kukutwa na hatia ya matumizi mabaya ya ofisi akiwa mkurugenzi katika mradi wa majengo pacha ya benki hiyo hali aliyoisababishia serikali kupata hasara ya shilingi bilioni 221.

No comments:

Post a Comment