KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Friday, November 27, 2009

Man United yapoteza nyumbani


Kocha wa Manchester United Sir Alex Ferguson hakusikitishwa na kichapo cha 1-0 katika mchuano wa Ligi ya mabingwa na Besiktas.
Kipigo hicho kinatokea baada ya mechi 23 za Ulaya bila kupoteza kwenye uwanja wa Old Trafford na bado Man.united inahitaji pointi moja kuongoza kundi la B.

Lakini Ferguson, aliyefanya mabadiliko nane tafauti ya timu iliyochuana na Everton siku nne kabla alisema baada ya mechi kwamba nadhani tulipuuza kwa kiasi na ni makosa. Hata hivyo hawa ni vijana wadogo.

Besktas ilipata bao lake kupitia Rodrigo Tello ingawa lilimgusa beki wa United Rafael da Silva.

No comments:

Post a Comment