KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Thursday, October 28, 2010

Aliyemtukana Kikwete aachiwa kwa dhamana




MGOMBEA ubunge kupitia chama cha Demokrasia dna Maendeleo [CHADEMA] jimbo la Temeke Amos Dickson, ameachiwa kwa dhamana na jeshi la polisi baada ya kukamatwa na kuhojiwa kwa masaa kadhaa na jeshi hilo.


Aalifafanua kuwa, jeshi hilo lilimkamata mgombea huyo jana maeneo ya Temeke na kufanya naye mahojiano katika kituo kikuu cha polisi.

Alisema katika mahojianao hayo, mgombea huyo alipewa fursa ya kujitetea na aliwezwa kuachiwa kwa dhamana na upelelezi wa kina kuhusiana na tukio hilo bado unaendelea

No comments:

Post a Comment