KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Thursday, September 23, 2010

Vipaji Vingine Mhh!



Mrembo wa Ujerumani mwenye matiti makubwa yenye ukubwa wa 46H aliwaacha hoi watazamaji na majaji wa shoo ya luninga ya kutafuta watu wenye vipaji vya kipekee nchini humo baada ya kuonyesha kipaji chake cha kipekee.

Mwanamke huyo aliwashangaza watu kwa jinsi alivyoyatumia matiti yake kuvunja mbao na matikiti maji.

Mwanamke huyo aliwafanya baadhi ya majaji wa shoo hiyo washindwe kuangalia mbele kwa kutoamini vitu alivyokuwa akivifanya

No comments:

Post a Comment