KARIBU MAISHANI
KARIBU MAISHANI
Monday, September 13, 2010
Mfumo wa magereza ya Irak wakosolewa
LONDON
Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International, limechapisha ripoti hii leo likisema watu takriban 30,000 nchini Irak
wamehukumiwa vifungo gerezani bila kufunguliwa mashtaka wala kuwa na wakili. Shirika hilo linasema wafungwa wanakabiliwa
na kitisho kikubwa cha mateso na kutendewa vitendo vibaya.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo shirika la Amnesty International linasema maafisa wa Irak wanawazuilia wafungwa wasio rasmi
katika magereza ya siri na watu kadhaa wamekufa kutokana na mateso gerezani. Katika ripoti hiyo, iliyopewa jina "Enzi mpya ya utawala
mateso yale yale" shirika hilo linaitaka serikali ya Irak kuwalinda vyema zaidi wafungwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment