KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Wednesday, July 28, 2010

Uvamizi wa Iraq haukuwa wa busura

Mkaguzi mkuu wa silaha wa Umoja wa Mataifa, kabla ya mgogoro wa Iraq, Hans Blix, amesema Uingereza iliingia katika vita vya kuishambulia Iraq ambavyo havikuwa na sababu kisheria.

Bwana Blix alikuwa akizungumza na BBC mjini London, baada ya kutoa ushahidi wake mbele ya tume inayosikiliza sababu za kuivamia Iraq kijeshi.
Bwana Blix amehoji uamuzi wa aliyekuwa Rais wa Marekani George Bush na waziri wa zamani wa Uingereza Tony Blair kufanya pupa ya kuingia katika vita hivyo.

Hans Blix aliiambia tume ya wachunguzi mjini London kuwa, alishangaa ni kwa nini Marekani na Uingereza walidhana kufanyika kwa uchunguzi zaidi ulikuwa ni kupoteza muda. Anadai, wakati huo Iraq ilikuwa inaonyesha nia ya kushirikiana na uchunguzi wa shirika la umoja wa mataifa.
Blix alizishutumu nchi za Marekani na Uingereza kwa kuivamia Iraq bila ya kufanyika kwa uchuguzi zaidi.

Roskam voted “no” on H.R. 4156: Orderly and Responsible Iraq Redeployment Appropriations Act, 2008. The bill, if enacted would:
Mkaguzi huyo wa zamani wa Umoja wa Mataifa, alisema kuwa hahoji iwapo rais George Bush wa Marekani na Tony Blair wa Uingereza walikuwa na nia njema walipoivamia Iraq, ila kile alichohoji ni uwamuzi wao wa kuchukua hatua hiyo.
On Wednesday, November 14, Peter Roskam voted to continue the war in Iraq and refused to outlaw torture and inhumane treatment of prisoners in the conduct of that war, continuing to demonstrate his unfailing support for the policies of the Bush administration.
Express the opinion of the Congress that U.S. military personnel, should be commended for their work in Iraq and Afghanistan, that the war in Iraq should be brought to a rapid conclusion and our troops brought home as quickly as possible, and that funds allocated under this bill should be used, not to prolong the war, but rather to end it. (These are non-binding provisions).
Prohibit allocated funds from being used in violation of the United Nations conventions regarding torture
Prohibit the president from deploying a military unit to Iraq that he has not certified as “fully mission capable”
Prohibit allocated funds from being used to establish permanent bases in Iraq or from being used to exercise control over Iraqi oil
Require the administration to report to Congress on it’s plans for attaining regional stability in the Middle East and on measure of progress in Iraq
Provide funding for the troops
The bill passed in the House and was referred to the Senate.
On Saturday, in his weekly radio address, President Bush berated the Congress for not supporting the troops and, paradoxically, threatened to veto the spending bill that he was demanding they pass. Why? Because, he says, Congress is telling his generals what to do.

But aside from expressing the sense of the Congress regarding an end to the war, the bill only demands 4 things:

Don’t torture
Don’t steal Iraqi oil
Don’t set up permanent military bases in Iraq
Keep the Congress informed as to how things are going
So what does Peter Roskam’s and George Bush’s refusal to support this bill to fund the troops?

They want to be able to continue to practice torture and other inhumane treatment
They want to control Iraqi oil reserves
They want to occupy Iraq permanently


And they believe that they should be able to do whatever they want without any accountability to the American public, and, in Peter’s case, to the voters in his district

No comments:

Post a Comment