KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Sunday, May 24, 2009

Afrika day














Kesho ni siku maalum ya bala afrika! ni siku ya kusherehekea kwa baadhi ya watu kwakuwa kuna nchi nyingine zenye matatizo ya kila aina mojawapo ni vita kama vile kongo,somalia,sudani, uganda, na magonjwa kama vile maleria, ukimwi na umasikini wa khali ya juu. Pia swala la elimu bado ni la chini sana. Tunawatakia sherehe njema! Mungu ibariki Afrika! Mungu ibariki Tanzania! Aluta Kontinua!

No comments:

Post a Comment