KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Friday, May 27, 2011

Ratko Mladic afikishwa mahakamani Belgrade.




Ratko Mladic.
Mahakama moja mjini Belgrade, imeahirisha kikao cha kwanza cha kusikilizwa kwa kesi ya kupelekwa hadi mahakama ya kimataifa ya kivita ICC mjini The Hague, mkuu wa zamani wa jeshi la Waserbia nchini Bosnia, Ratko Mladic aliyekamatwa siku ya Alhamisi baada ya kubaini kuwa hali yake ya kiafya ilikuwa mbaya.

Madaktari wataamua hivi leo ikiwa kikao hicho cha mahakama mjini Belgrade kitarejelewa au la.

Mladic alionekana kuwa hafifu na kuzongwa na uzee wakati akiingia katika mahakama moja mjini Belgrade akiwa amevalia kofia na koti nzito.

Punde baada ya kufika mahakani ambapo alitarajiwa kusomewa mashtaka dhidi yake, mara tu kesi ikaahirishwa.

Akizungumza na waandishi habari wakili wa Mladic, Milos Saljic alisema mjeta wake ana matatizo ya kiafya na alikuwa na matatizo ya kuzungumza.

Utawala wa Serbia uko maakini kuona Ratko Mladic anakabidhiwa mbele ya mahakama ya kimataifa ya jinai kwa haraka, kwa matumaini kwamba kuhamishwa kwake kutadidimiza maandamano kutoka wazalendo wa Kiserbia ambao wanamuona Generali huyo wa zamani kama mtetezi wa jamii ya wa-Serbia.


Washukiwa wengine wa mauaji ya Kimbari nchini Bosnia.
Hata hivyo kuna wengine ambao wamekaribisha kumatwa kwa Mladic, kwani hii inaondoa kikwazo kikubwa zaidi dhidi ya matumaini ya Serbia kujiunga na Muungano wa Ulaya.

Ratco Mladic alituhumiwa kwa uhalifu wa kivita hapo mwaka 1995 na mahakama ya kimataifa ya jinai iliyoko the Hague ambapo amelaumiwa kutekeleza mauaji ya kimbari.

Wakili wake hata hivyo anasema hatambui uhalali wa mahakama hiyo ya ICC.

Huku kukamatwa kwa mladic kukivutia hisia tofauti nchini Serbia, kimataifa hatua hiyo imepokelewa kwa sifa kuu.

Rais Barack Obama amempongeza mwenzake wa Serbia Boris Tadic, kwa juhudi zake kumsaka jenerali huyo wa zamani.

Rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy na waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron wamesema matukio ya sasa ni onyo kwa wahalifu wa kivita kwamba hatimae watakabiliwa na mkono wa sheria.





A tribute to the Bosnian Srebrenica Martyrs-on the arrest of Serbian General Ratko Mladic



Ratko Mladic was arrested in Serbia, he led the armed forces of the Bosnian Serbs during the Bosnian War. Accused of ordering Europe’s worst massacre since World War II, he was the world’s most wanted fugitive for the atrocities committed during the conflict . He faces genocide charges over the killing of about 7,500 Bosnian Muslim men and boys at Srebrenica in 1995. After spending 16 years on the run, he was found in the village of Lazarevo, about 80km (50 miles) north of Belgrade, living under the assumed name, Milorad Komodic.

“For all those years this monster was hidden by Serbia and they knew where he was,” she said. “Now they are handing him over to justice. Well, better late than never. But I’m afraid of another trial without a verdict.” a victim who lost all her male family members in the massacre.
There may be political reasons for his capture at this time as the NYT reports Mladic Arrest Opens Door to Serbia’s Long-Sought European Union Membership. This is a blog entry at King’s Of War (Department of War Studies, King’s College London) :Mladic: the price of EU membership.

From the New YorkTimes:

With video cameras capturing the moment, Gen. Ratko Mladic’s bodyguards handed out chocolates to Bosnian Muslim children, promising terrified women that the violence was over.“No one will be harmed,” the Bosnian Serb commander said on July 12, 1995, gently patting a young boy on the head. “You have nothing to fear. You will all be evacuated.” As he spoke, thousands of his soldiers formed a vast cordon around the town of Srebrenica, a United Nations protected “safe area” that had just fallen to General Mladic’s forces. Over the next 10 days, his soldiers hunted down, captured and summarily executed 8,000 men and boys from the town. Women were raped. And pleas for restraint from the international community were mocked.



Allahum maghfir lihayyina, wa mayyitinaa, wa shaahidina, wa ghaa-’ibina, wa sagheerina, wa kabeerina, wa dhakarrina wa unthana. Allahumma man ahyaitahu mina faahyihi ‘alal Islami wa man tawaf-faytahu mina fatawaffahu ‘alal imani. Allahumma la tahrima arjahu wa la tudhillana ba’dahu

This is a great historical fictional piece written by Brother Amad more than a decade ago, when the Bosnian genocide was ongoing at its apex, his comments from a post in 2008 strike harder in 2011:

We have to be mindful of history. People don’t become animals overnight. There is a slow and systematic process of brainwashing and fear-mongering.Do we think that Serbs or the German Nazis or the Russian army in Chechnya or the Gujarati Hindus became beasts overnight? No, rather, the process of inculcating hate and bias kept on going for years, decades and eventually when the opportunity came, this hatred was unleashed. Why is this relevant? What is happening in America, in terms of Islamophobia, is not at the proportion of Nazi Germany or other centers of pre-genocide. But, it is a slow process. And we cannot let that hate reach such a boiling point, such that when there is an opportunity or an incident that sparks anti-Muslim sentiment; that this hatred isn’t suddenly unleashed upon Muslims in America. If we don’t stop this train of Islamophobia, in American, and worse in Europe, then we will be left to wonder later on what happened!!

The stars and the moon were in their hideout- the night was very dark indeed. A grim sense of fear lurked around every soul that dared to walk upon the desolated street.

He stepped out of his devastated house onto the rubble that welcomed him— the rubble that once was an attractively adorned street. A chilled, hideous wind greeted his snow—white face. He knew it, everyone did— no mortal being was safe on this hell on earth. He screwed his dark muffler over his naked ears and started to walk briskly.

The cruel silence of the darkness was brutally shattered by the familiar sound of gun shots and then a dying scream.Now him, next me- he contemplated. But this thought had long ceased to disturb him, let alone scare him. The plain truth was that there was no escape, no optimism; the future was as dead as the land beneath the remains of the shoes he was wearing. He knew one thing though— the land could become alive if there was rain. But then again, there was no rain in sight. Clouds had long forgotten the way to this forbidden land. Tears streamed out of his jaded eyes. They surprised him- he was quite sure that they too had deserted him. He wiped them off with his scarred hands.

Almost suddenly, pictures of the pre-war period flashed in front of his damp eyes:

The streets lights flashing, couples and families, hand in hand, strolling around the glittering shops with their decorated showrooms. There was no fear, a hand shake here and there, a hug, a smile, a petty argument… it was beautiful.

He smiled, then laughed and finally cried. Maybe he couldn’t recognize emotion any more, it all seemed the same now. He did recognize though that his life was a hapless journey; a trip through hell into the grapples of death and probably as futile as the dried leaf that falls down and never gets up.

The damned wind seemed to get cooler every minute. Or maybe his tattered clothes had given up on him. After all, the world had given up on his homeland. After all, the world had been reduced to being mere spectators to yet another genocide. After all, they had other more important things to deal with. After all, after all…

The man dragged on. He stumbled over dead flesh. Part of a cat lay spluttered in front of him. “Those beasts, ba**rds didn’t even leave the cat alive,” he mumbled. Of course they didn’t; cats were just animals but humans. He changed his mind…we are animals too. He kicked away the intruding creature with a loud thud. No, he wasn’t always so insensitive. He had just grown out it. In fact, he had grown out of many other feelings, too, like love for instance. They were just old traditions that everybody had to grow out of. Honestly, most already had.

Lost in paradoxical thoughts, he came across a dried up well, a preserved ‘antiquity’. He remembered how people had crowded around it, throwing away their coins, wishing for so many things. How stupid, he thought. If only they had known better, they’d spend their money elsewhere. If only it wasn’t a wishing well, if only it had some fortune in it, like oil perhaps…The thought amused him but he didn‘t smile. It just seemed so honest, so really true. He buried his eyes in his hands and went back…

It was eight in the evening and he had just come back home after a hard, laborious day. Not that he was the only one who worked hard. Back then everybody did but at least everyone was allowed to live. His wife had just cooked the daily rice and beans. Life was difficult and ends barely met. Suddenly, his daughter barged into the room and instinctively he realized how beautiful she had become- his little girl had flowered into a beautiful woman. He held her close and wept. I

t was a hard life, if only he could give his daughter more… His son followed in next and they came together for a big bear hug. This had become a daily ritual, a sort of family endearment and how sure he was that his strength lay in this. They sat down for food and gobbled down their inadequate daily rations but they were happy to be alive, to be together. No one complained and this hurt him more. Sometimes, he wished that they would argue, that they would be angry, but like his other wishes; these too vanished into thin air.

He shook his head to disperse the snow that had collected over it and wiped off his tears. Suddenly, he started running, fell down and then sprinted again. But he knew that it would catch him, it always did. Surely, the pictures swept in front of him and he became witness to yet another hallucination.

It was eight in the evening and he had just come home. He heard the sound of loud barking and before he had time to make sense of it, a sharp blow hit across his forehead and he crashed down. Adem woke up to a nightmare— only that he wasn’t sleeping. He was tied to the door. His daughter lay in the bed in front of him, she was stark naked. He closed his eyes and screamed and cried.

A tight slap hit across his face. It opened his eyes and forced him to witness. The soldier climbed into the bed, encouraged on by fits of laughter and cheers. Adem looked on in disbelief. He had stopped screaming. The man raped his daughter. She wept, begged for mercy, begged for help…The dogs had started to bark even louder and their barking seemed to be drowning her voice and her strength. Adem wished for respite, wished for death. He’d gladly accept either. Moments later, another soldier entered the scene and repeatedly raped his daughter. Adem fainted. Not much later, he was awakened by boiling water poured over his head but it didn’t hurt at all. Physical pain seemed so minute…

This time his wife was the centerpiece. Besides her lay his daughter, apparently dead. His wife was screaming too but Adem didn’t flinch, he didn’t cry. He watched quietly as his wife became another toy for the animals. Next his son was brought in. It was a procession of death and he was the chief guest. The little child’s hands were placed on the table and severed, one by one.

The child had fainted after the first blow but the savages systematically continued to mutilate him, one bit at a time. The remains of the innocent human beings were gathered and then thrown in front of the beasts’ beasts. Throughout the ordeal, Adem had fainted several times but the butchers made sure that he didn’t miss any of the action. They didn’t kill him, though. It was too easy an escape.








Ratko Mladic akamatwa Serbia






Ratko Mladic


Ratko Mladic, anayesakwa na waendesha mashtaka wa umoja wa mataifa kwa uhalifu wa kivita wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Bosnia katika miaka ya 90, amekamatwa Serbia na anapelekwa the Hague.


Rais wa Serbia Boris Tadic amethibitisha kukamatwa kwa aliyekuwa mkuu wa jeshi wa Serb wa Bosnia katika mkutano na waandishi wa habari.

Jenerali Mladic anatuhumiwa kwa mauaji ya takriban Wabosnia 7,500 wa Kiislamu wanaume na vijana wa kiume huko Srebrenica mwaka 1995.

Ni miongoni mwa washukiwa maarufu wa uhalifu wa kivita aliyekuwa akitafutwa tangu kukamatwa kwa Radovan Karadzic mwaka 2008.

Rais Tradic alisema tayari kulikuwa na mipango ya kumsafirisha Jenerali Mladic kwenye mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita The Hague, na baadae taarifa zilisema kuna ndege iliyomchukua mshukiwa huyo huko Belgrade kuelekea Uholanzi.










Sudan Kusini ' haitoingia vitani'






Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir
Kiongozi wa Sudan Kusini Salva Kiir amesema hatawaongoza watu wake kwenye vita na Kaskazini kuhusu eneo lenye mgogoro la Abyei.

Eneo la Abyei lilichukuliwa na vikosi vya Kaskazini mwishoni mwa wiki,liko kwenye mgogoro na Kusini ambayo inatarajia kutengana na Kaskazini na kuwa huru kuanzia Julai mwaka huu.

"Hatutarudi vitani tena, haitatokea," Bwana Kiir alisema katika taarifa yake ya kwanza kwa umma tangu tatizo la Abyei ianze.

Wachambuzi wanahofia kuwa mgogoro huo utaanzisha mapigano tena kati ya Kusini na Kaskazini.

Makubaliano ya amani ya mwaka 2005 yalimaliza miaka 22 ya vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyosababisha watu milioni 1.5 kufa.

Uamuzi kuhusu eneo la Abyei haukutolewa na rasimu yake iliyokuwa ikamilike mwezi Januari kujua iwapo eneo hilo liwe limilikiwe na Kaskazini au Kusini imeahirishwa na haijulikani itakamilika lini.

Katika hotuba yake kwa Taifa, Bwana Kiir alisema Kusini imepigana vita vya kutosha na kwamba sasa ni wakati wa amani.

Ameuelezea uvamizi wa Kaskazini kwenye eneo la Abyei kama ni 'kuhamaki' na kuongeza kuwa eneo hilo hatimaye litarudi Kusini.

Rais wa Sudan Omar al-Bashir amekataa kuondoa vikosi vyake katika eneo la Abyei licha ya Umoja wa Mataifa kushutumu uvamizi huo.

Awali, waziri wa serikali ya Kitaifa anayetoka Kusini alijiuzulu akisema 'uhalifu wa kivita' umefanyika katika eneo hilo la Abyei.








Wanajeshi kusalia eneo la Abyei-Bashir






Susan Rice
Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa, Bi Susan Rice, amesema Umoja huo umepokea ripoti za kutisha kuhusu uporaji wa mali na uteketezaji wa mali katika jimbo la Abyei nchini Sudan, baada ya eneo hilo kutekwa na wanajeshi wa utawala wa Khartoum wiki iliyopita.


Akiongea katika mji mkuu wa eneo la Sudan Kusini, Juba, Bi Rice amesema idadi kubwa ya watu wamekimbia makaazi yao tangu uvamizi huo na kwa sasa wanaelekea eneo la Sudan Kusini chini ya mazingira magumu na hatari kwa usalama wao.


Rais wa Sudan
Awali rais wa Sudan, Omar al Bashir, alisema wanajeshi wake walijibu uchochezi kutoka kwa wanajeshi wa eneo la Kusini na kwamba wanajeshi hao hawataondolewa kutoka eneo hilo la Abyei.

Serikali za Sudan Kusini na Kaskazini zinadai umiliki wa eneo hilo lenye utajiri mkubwa wa mafuta na inakisiwa kuwa mzozo huo wa umiliki wa Abyei unaweza kusababisha vita kati ya pande hizo mbili hasa baada ya Sudan Kusini kutangazwa nchi huru hapo Julai mwaka huu.






Bashir: no Abyei vote without Misseriya





Abyei-Bashir


Sudan's President Omar al-Bashir has insisted the problem of Abyei cannot be solved without the Misseriya nomads participating in a referendum on the status of the disputed border region.
"We are saying, loud and clear, that there will be no referendum on Abyei without the Misseriya," Bashir said in Doha late on Wednesday.

"The Abyei protocol states clearly that the inhabitants of the region, the Ngok Dinka and the other citizens, have the right to participate in the referendum.

"We refuse this division between first and second class citizens, between settled and nomadic. They are all Sudanese and they have the same rights," the Sudanese leader added.

The flashpoint area, where clashes killed at least 70 people earlier this month, was due to hold a referendum in January on whether to join north or south Sudan, to coincide with the plebiscite on southern independence.

Southerners opted overwhelmingly for succession, but the Abyei vote was postponed indefinitely, with the ruling parties in Khartoum and Juba at loggerheads over whether the Misseriya should be eligible to participate.

The cattle-herding tribe were a key proxy militia of Khartoum's army during the 1983-2005 civil war against southern rebels.

Despite repeated southern assurances that centuries-old grazing rights will be respected should Abyei vote to join the south, many Misseriya remain fearful their route will be blocked by a new international frontier.

Abyei's future is the most sensitive of a raft of issues the governments of north and south have been trying to resolve ahead of southern independence in July, which include borders, citizenship, security and debt.

The Sudanese president flew to Doha for talks with the emir, Sheikh Hamad bin Khalifa al-Thani, on the foundering Darfur peace process, which is being mediated in the Qatari capital.

Bashir again accused Darfur rebel groups of fighting alongside the forces of Libyan leader Moamer Gathafi.

"They have given weapons to our brothers in Libya, who are part of the Darfur rebel groups, they are (fighting) side by side," he said on Wednesday.

The Justice and Equality Movement, the most heavily-armed rebel group, and one of just two taking part in peace process, said on Tuesday that Khartoum's planned referendum on how the Darfur region should be governed would torpedo the Doha talks

No comments:

Post a Comment