
Rais Omar al Bashiri wa Sudan
Akizungumza katika mkutano wa hadhara kwenye mji wa Kaskazini wa Al-Damir, jimbo la Mto Nile, Rais Bashir amekiri kuwa raia wa kusini wameamua kwa asilimia 99 kujitenga.
Al Bashir aliwataja wale wanaotarajia kunaweza kutokea maasi kama yale yaliyotokea Tunisia kumpindua kuwa wanaota ndoto.
No comments:
Post a Comment