KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Saturday, November 27, 2010

Pakistan wakanusha madai ya Wikileaks


Ripoti ya Wikileaks


Wizara ya Mambo ya Nje nchini Pakistan imekanusha madai kuwa Marekani inahusika na shughuli ya kusafirisha madini yaliyorotubishwa ya uranium kutoka katika viwanda vyake vya Nukilia.




Msemaji wa wizara hiyo ameiambia BBC, habari hizo zilijitokeza kwenye nyaraka zilizochapishwa na mtandao wa Wikileaks.

Nyaraka hizo zimeonyesha matamshi yaliyotolewa na mfalme Abdullah wa Saudi Arabi kuhusu Rais wa nchi hiyo Asif Zardari

No comments:

Post a Comment