KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Wednesday, September 1, 2010

Kikwete Anguruma Mkoani Mbeya


Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM,Mh. Dr. Jakaya Kikwete akimnadi mgombea Ubunge wa jimbo la Kyela,Dr. Harisson Mwakwembe katika mkutano wa kampeni uliofanyika wilayani humo jana.





Mh. Dr. Jakaya Kikwete akiwa katika vazi la uchifu mara baada ya kusimikwa na chifu mkuu wa Mbeya akishirikiana na machifu wa wilaya zote za mkoani humo.





Mh. Dr. Jakaya Kikwete akisimikwa uchimu




Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM,Mh. Dr. Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na machifu wa Mbeya waliongozwa na Chifu mkuu,chifu Mweshenga mara baada ya kusimikwa uchifu.




Mh. Dr. Jakaya Kikwete akisalimiana na mmoja wa wazee wa Kyela ambaye ni mlemavu pindi alipokuwa katika wilaya hiyo kwa ajili ya kunadi sera ya CCM na kumnadi mgombea Ubunge wa jimbo hilo,Dr. Harisson Mwakyembe (katikati).




Mh. Dr. Jakaya Kikwete akisalimiana na wakazi wa Tukuyu wilayani Rungwe jana.





Mh. Dr. Jakaya Kikwete akisalimiana na wakazi wa Mbeya mjini pindi alipofika katika uwanja wa Sokoine kuwahutubia.




msafara wa pikipiki




Msanii wa Bongo Freva,Marlow akiwaburudisha wana Mbeya mjini katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),Mh. Dr. Jakaya Kikwete


Umati mkubwa ulifurika kuja kumsikiliza Mh. Dr. Jakaya Kikwete wakati alipohutubia Mbeya mjini jana.

No comments:

Post a Comment