KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Tuesday, June 22, 2010

Niger yakabiliwa na tisho la Njaa

Mashirika mawili makuu ya misaada yamezindua ombi la dharura kusaidia mamilioni ya watu nchini Niger wanaokumbwa na baa la njaa.

Mashirika hayo Save the Children na Oxfam, yanasema kuwa hali sio mbaya sana kwa sasa ingawa ingawa yanataka kuzuia haliiliyotokea miaka mitano iliyopita ambapo watu milioni tatu unusu waliathirika kutokana na ukosefu wa chakula.

Wengi pia walikumbwa na utapiamlo wakati huo.

Waziri wa elimu ya juu wa nchi hiyo amsema serikali imeweza kudhibiti hali ingawa hana uhakika kwamba watu hawaathrika kutokana na njaa hiyo.

No comments:

Post a Comment