KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Tuesday, June 29, 2010

Aliyekutwa na binti wa mwenye nyumba ahamishwa kinguvu


KIJANA aliyekutwa baa akiwa katika jaribio la kumrubuni mtoto wa mwenye nyumba kimapenzi atakiwa kuhama katika nyumba hiyo bila kupenda siku iliyofuata.

Kutokana na hasira walizokuwa nazo wazazi wa binti huyo walimtaka kijana huyo kuhama ndani humo bila kupenda ili kuepusha ugomvi kati yao.

Bila kuamini anachosikia masikioni kwake kwa wazazi hao usiku huo aliporudi siku ya pili yake baada ya kukutwa na binti huyo maeneo ya Sinza.

Asubuhi yake mama wa binti huyo alimtahadharisha kijana huyo kuwa kutokana na hasira alizokuwa nazo baba wa mtoto huyo alimwambia kwa tahadhari anatakiwa ahame ndani humo ili kusiwe na migongano ya hapa na pale.

Hivyo kijana huyo aliwataka wenye hao amrudishie hela ya kodi iliyobaki ili aeze kutafitia chumba mahali kwingine.

Chanzo cha habari hii kilisema kuwa kwa kua alibakiza miezi miwili kti yam aka mmoj aliopanga humo waliweza kumrudishwia pesa hizo ili aweze kuondoka ndani humo kwa kuamini kuwa angeendelea kubaki ndani humo binti huyo angeweza kudanganyika tena mbali na kipigo alichopewa.

Hivyo kijana huyo alilazimika kutafuta gari na kuhamisha vyombo na kuondoka kwenye nyumba hiyo.

No comments:

Post a Comment