KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Sunday, May 31, 2009

Sri Lanka yakataa uchunguzi wa kimataifa HAKUNA TAFAUTI YA MAUAJI YANAO SIBU NCHI ZETU ZA AFRICA. WEMA WETU SISI WAANGALIAJI NI NINI ?





Norway Interfering in the Internal Affairs of Sri Lanka - By K.T.Rajasingham - Norway is interfering in the internal affairs of Sri Lanka. Jon Westborg, the Ambassador of Norway in Sri Lanka, it is alleged that, he is behaving like a "Viceroy". ...... Liberation Tigers of Tamil Eelam (LTTE) has made it clear that, “LTTE does not operate with the concept of a ‘Separate State’. “We operate with a concept of ‘Homeland and self determination’. ‘Homeland’ does not mean a separate state as such.” This statement of the LTTE reminds us of the future coexistence with the Sinhalese in a united Sri Lanka. Therefore, it has become incumbent on the part of every peace loving Sri Lankan, to examine these allegations carefully and seriously





Kalyanapura, Gomarankadawala Massacre on 23 April 2006




There could be a significant amount of oil around Sri Lanka, perhaps 10-50 million barrels in the North / West of Sri Lanka as per the Norwegian seismic company estimates . It is likely that Norwegian companies have a better chance to get exploration permits from the LTTE than from the Government of Sri Lanka. For the time being the LTTE has no legal rights to grant such exploration permits. This fact could have been an incentive to help the LTTE with funds, technology, equipment and flying the LTTE leaders around Europe, portraying that the LTTE leaders as legitimate politicians and sole representatives of the Tamils. Below we have included some links to newspaper articles in English related to Norway and Oil business in Asia.




Sri Lanka imekataa kuruhusu mashirika ya kimataifa kufanya uchunguzi, au kuwashtaki wanajeshi wa nchi hiyo, kwa tuhuma za uki-ukaji wa haki za kibinaadamu, katika vita na wapiganaji wa Tamil Tigers.









Sri Lanka imekataa kuruhusu mashirika ya kimataifa kufanya uchunguzi, au kuwashtaki wanajeshi wa nchi hiyo, kwa tuhuma za uki-ukaji wa haki za kibinaadamu, katika vita na wapiganaji wa Tamil Tigers.
Waziri wa mashauri ya Nchi za Nje, Rohitha Bogollagama, alisema mahakama ya Sri Lanka, yana uwezo wa kushughulika na swala hilo.

Waziri huyo amesema kuwa Sri Lanka, ni nchi huru yenye mfumo wake wa sheria, na mahakama yake huru yatafanya uchunguzi kama kuna malalamiko yoyyote.

Bwana Rohitha Bogollagama, alizitoa maanani, shutuma kwamba mauaji ya kikabila yalitokea siku za mwisho za mapambano na wapiganaji wa kiTamil.

Ameelezea tuhuma za makundi ya kupigania haki za kibinaadamu kuwa ni uzushi, uliokusudiwa kulipa sifa mbaya jeshi la Sri lanka.

Mashirika ya haki za kibinaadamu, na maafisa wa Umoja wa Mataifa, wametoa wito kufanywe uchunguzi, kuhusu mauaji ya maelfu ya raia, katika mapambano hayo.

Serikali ya Sri Lanka, ilitangaza wiki mbili zilizopita, kuwa imewashinda wapiganaji; na Waziri wa Mashauri ya Nchi za Nje, amesema anataraji kuwa kumalizika kwa vita, kutasaidia kukuza uchumi wa nchi kwa asili-mia-tatu kila mwaka.

No comments:

Post a Comment