KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Tuesday, April 28, 2009

Swine Flu




Wakati ulimwengu ukiwa unapambana na tishio jipya la mafua ya kitimoto, hapa Bongo land mambo bado politiki. hakuna idara yoyote ya kiserekari au isiyo ya kiserekari iliyotoa onyo ama tangulizi kuhusu janga hili. kisha tunasema tupo kwenye utandawazi?
Ni jukumu letu sasa sisi wazee wa maishani kuwataadharisha watanzania kuwa mzee kitimoto ni soo! habari ndio hiyo waungwana!watu kibao wameshakata roho huko mexico na usa! Tunasubiri nini? Why!

No comments:

Post a Comment