

Kundi hilo linalodhibiti maeneo mengi ya kusini mwa nchi hiyo, limesema kuwa litachukua hatua dhidi ya raia yeyote wa Somalia anayeshirikiana na shirika hilo la WFP.
Kundi hilo limesema WFP linaangamiza wakulima nchini humo kwa kusambaza chakula cha bure nchini humo.
No comments:
Post a Comment