












Maendeleo haya ni kwetu sote kwani kwa kuwezeshwa kiteknolojia sote tutaweza pata huduma muhimu za mawasiliano kwa uhakika na ufanisi zaidi, na pia khali hii itatoa fursa za kazi kwa watanzania mbalimbali watakaokuwa waajiriwa wa miradi mbalimbali itakayoletwa na wawekezaji kutoka nje. Kwa haya tunampongeza sana raisi wetu na kumtakia kila la kheri katika harkati zake za kutuletea maendeleo katika nyanja mbalimbali za kimaisha!
Hongera Mheshimiwa raisi wetu na Mungu akujalie Kheri na Baraka Tele!Mungu ibariki Tanzania! Mungu ibariki Africa!
No comments:
Post a Comment