KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Friday, April 10, 2009

Mambo ya Ndala






Mambo ya Ndala
Jamani naomba niulize kuhusu ndala, je ndala inafaa kuvaliwa wapi? Inafaa kuvaliwa na vazi gani? Inafaa kuvaliwa na mtu wa hadhi gani? Inafaa kuvaliwa kwa kwenda wapi? Je ndala iligunduliwa na nani? Maana tujuavyo ndala utumika sana kwa wakati wa faragha ama mapumziko pia ndala ni kiatu cha mnyonge asie na kipato anaweza kutembea nacho kwa muda mrefu na kinadumu kwa muda mrefu pia! Kwetu sisi ndala ni mkombozi wa wanyonge! Na ndala ndio nembo ya time yetu Yanga bingwa wa ligi kuu ya Vodacom je kwanini Yanga walichagua alama ya ndala kama ujulisho wa timu yao? Je twaweza kuoga na viatu vya ngozi ama laba? Basi sina budi kuipa sifa ndala kwa jinsi ilivyo na umuhimu katika maisha yetu ya kila siku!

No comments:

Post a Comment