
Ajali hiyo mbaya ilihusisha magari toka pande zote mbili za barabara ya A25 iliyopo kusini mashariki mwa mji wa Porto.
Jumla ya magari 46 yaligongana kwa wakati mmoja ambapo malori mawili na magari madogo sita yaliteketea kwa moto.
Watu sita walipoteza maisha yao na wengine 72 walijeruhiwa huku 24 kati yao hali zao zikisemekana kuwa ni mbaya.
Sababu ya kutokea kwa ajali hiyo inasemekana kuwa ni mvua na ukungu
No comments:
Post a Comment