KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Saturday, January 30, 2010

Blair kuelezea mashambulizi ya Iraq




Aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza Tony Blair anatarajiwa kutoa ushahidi mbele ya kamati inayochunguza kuhusika kwa Uingereza kwenye vita vya Iraq vya 2003.
Bwana Blair atahojiwa kwa muda wa saa 6 kuelezea sababu zake za kuunga mkono uvamizi wa Marekani nchini Iraq mwaka wa 2003.

Uingereza iliunga mkono vita hivyo kwa misingi kuwa Iraq ilikuwa na silaha za maangamizi makubwa. Blair anatarakiwa kueteta uamuzi wake kuwa rais Saddam Hussein alikuwa na uwezo na nia ya kuunda silaha za maangamizi ya halaiki.









No comments:

Post a Comment