KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Tuesday, March 10, 2009

kila jambo linahitaji Mapenzi juu yake


Mke wangu anahitaji Bito,lakini kwa upande wangu naona kutokana na jina la gari hio,ni kunidhalilisha nimeamuwa kumnunulia LandCruser ,Nissan na Mark2, eti hataki anadai bito au Talaka !
Jamani naomba ushauri wenu ili nilinde ndoa yangu.

No comments:

Post a Comment