KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Tuesday, July 13, 2010

Uhispania washindi wa Kombe la Dunia


Andres Iniesta alifunga goli dakika nne kabla ya muda ulioongezwa kumalizika na kusababisha Uhispania kupata ushindi wao kwa mara ya kwanza kwenye Kombe la Dunia kwa bao 1-0 dhidi ya Uholanzi.

No comments:

Post a Comment