KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Thursday, July 8, 2010

Mike Tyson Aenda Makka Kuhiji

Bingwa wa dunia wa zamani wa ndondi, Mike Tyson ambaye alibadili dini kuwa muislamu alipokuwa jela kwenye miaka ya 1990 yupo nchini Saudi Arabia kwaajili ya hija ndogo.
Bingwa wa dunia wa zamani wa ngumi za uzito wa juu, Mike Tyson anatembelea miji mitakatifu ya waislamu Makka na Madina kwaajili ya kuhiji.

Tyson ambaye alikuwa bingwa dunia kuanzia mwaka 1986 hadi 1990, aliwasili Madina siku ya ijumaa akiwa na maafisa wa umoja wa Daa'wa wa Kanada kwaajili ya Umrah ambayo ni hija ndogo.

WHO IS MICHAEL TYSON


Michael Gerard "Mike" Tyson (born June 30, 1966) is a retired American boxer. Tyson was the undeavyweight champion and holds the record as the youngest boxer, to win the WBC, WBA and IBF world heavyweight titles.

isputed h He won the WBC title when he was 20 years, 4 months and 22 days old, after defeating Trevor Berbick by a TKO in the second round. He is the youngest man ever to accomplish the undesputed status as heavyweight champion. Throughout his career, Tyson became well-known for his ferocious and intimidating boxing style as well as his controversial behavior both inside and outside the ring.

He was the first heavyweight boxer to hold the WBA, WBC and IBF titles simultaneously. Tyson is considered to have been one of the greatest heavyweight boxers of all time.[5]

Nicknamed "Kid Dynamite"[6] and "Iron Mike",[2] Tyson won his first 19 professional bouts by knockout, with twelve of them occurring in the first round. He unified the belts in the splintered heavyweight division in the late 1980s to become undisputed heavyweight champion of the world. Tyson became the lineal champion when he knocked out Michael Spinks in the first 91 seconds of the fight. Tyson lost his titles to 42-to-1 underdog Buster Douglas on February 11, 1990, in Tokyo, Japan, by a knockout in round 10.

In 1992, Tyson was convicted of sexually assaulting Desiree Washington, for which he served three years in prison. After being released from prison in 1995, he engaged in a series of comeback fights. He regained a portion of the heavyweight title, before losing it to Evander Holyfield in a 1996 fight by an 11th round TKO. Their 1997 rematch ended when Tyson was disqualified for biting off part of Holyfield's ear. He fought for a championship again at 35, losing by knockout to Lennox Lewis in 2002. Tyson retired from professional boxing in 2006 after he was knocked out in consecutive matches against Danny Williams and Kevin McBride.

Tyson declared bankruptcy in 2003, despite receiving over US$30 million for several of his fights and $300 million during his career.

He is ranked #16 on Ring Magazine's list of 100 greatest punchers of all time.

Baada ya kutoka Madina, Tyson ataenda Makka na gazeti la Okaz la Saudia limeripoti kuwa Tyson ana mpango wa kutembelea pia miji mingine ya Saudia.

Tyson mwenye umri wa miaka 44 alibadili dini kuwa muislamu wakati alipokuwa jela akitumikia kifungo cha miaka 10 jela kwa kumbaka mrembo wa Marekani mwaka 1991. Hata hivyo alitumikia miaka mitatu jela na kuachiwa huru.

Baada ya kutoka jela alijaribu kurudi tena kwenye ngumi lakini hakuweza kulirudia taji lake na mwishoe aliachana na ndondi mwaka 2005.

No comments:

Post a Comment