KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Saturday, July 3, 2010

Gari la mafuta laangamiza 220 Kongo


Zaidi ya watu 220 wanahofiwa kufa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo. Watu hao wameangamia baada ya lori moja lilobeba mafuta kuanguka na kuwaka moto katika kijiji cha Sange, mashariki mwa nchi hiyo.

Inaarifiwa kuwa watu hao walikuwa wakijaribu kuchota mafuta kutoka lori hilo, lilokuwa limepinduka, baada ya dereva wake kushindwa kulidhibiti.

Habari zaidi zinafuatia.

No comments:

Post a Comment