KARIBU MAISHANI

KARIBU MAISHANI

Thursday, May 20, 2010

Pinda aenda nje ya nchi kuchunguza afya

WAZIRI MKUU wa Tanzania, Mizengo Pinda jana ameondoka nchini kuelekea nchini Marekani kwa ajili ya kwenda kuchunguza afya yake kwa ujumla.

Waziri huyo aliondoka jana akiongozana na mke wake akielekea nchini humo ambapo aliagwa na mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam .

Waziri Mkuu huyo anatarajiwa kurudi nchini baada ya wiki moja baada ya kukamilisha zoezi hilo la kuangalia afya yake kukamilika.

No comments:

Post a Comment